Recent content by Fordy the gr8t

  1. F

    IKULU: Waziri Mkuu Mstaafu, Lowassa amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli; akiri Rais anafanya kazi nzuri

    Msiwe wagumu kufuatilia habar angalieni BBC au ITV mtaona hiyo habar Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  2. F

    Mwigulu Nchemba: Aliyemtisha Nape kwa bastola sio Polisi. Uchunguzi wa Lissu kushambuliwa unaendelea, tutatoa taarifa

    Kuna mambo yanatia hasira sana, unajua ni bora unyamaze tu kuliko kutolea ufafanuzi amabo unatia hasira watu. Kama hakuwa police sawa lakimi alionekana hadharani police walishindwaje kumkamata?
  3. F

    Alikiba anaongoza kwa video za low quality!

    Mashindano mnayatengeneza nyie washabiki bali nyie mngekaa kimya msingeona kama mtu anashindana Sent using Jamii Forums mobile app
  4. F

    Alikiba anaongoza kwa video za low quality!

    Làiti kama angekuwa ametoa Chrissbrown video kama hiyo mngetoa kila aina ya pongezi lakini kisa Mtz mnaanza kumdis Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    Alikiba anaongoza kwa video za low quality!

    Mbona video nyingi sana za wazungu wameshoot kama alikiba? Acheni kutukana vya kwenu bwana Bora ww umewambia ukweli Sent using Jamii Forums mobile app
  6. F

    Alikiba anaongoza kwa video za low quality!

    Hata yeye kiba anafanya ivo ili wazungu wasijue kama ww unataka wimbo amabo wazungu watakuelewa toa wako. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. F

    Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

    Sikuizi kuna mziki mzuri???? Mziki wa zamani ndio mziki radha ya mziki haiishi, lakini nowdays mtu anatoa ngoma leo kesho radha imeisha Sent using Jamii Forums mobile app
  8. F

    KONDOM

    Lakini njia kuu foleni
  9. F

    Wrong Number

    Dah wadau msaada wenu kuna dem nilikuwa namfukuzia sasa kila nikitaka nionane nae bila ya yeye kujua inashindikana sasa siku ikabidi niombe namba yake, siku napewa ile namba kumbe haikuwa yake ilikuwa ya mfanya kazi wao alafu mdogo mdogo ivi ila uzuri anao, sasa nikawa nachat nae siku nimemwita...
  10. F

    KONDOM

    Ila kupatikana kwake ishu
  11. F

    KONDOM

    Michepuko je?
  12. F

    Kuna mademu wana mapepo vichwani mwao

    Piga wote wawili kwan kuna shida gani?
  13. F

    Kuna mademu wana mapepo vichwani mwao

    Mkubalie ila mwambie ukimrudia utakuwa unamchezea tu hautomuoa maana wa kuoa kashapatikana.
  14. F

    KONDOM

    Wana jamii forum naombeni msaada mi nikilala na mwanamke nikitumia mpira/kondom nakuwa napata shida sana wakati kitendo kinaendelea Huwa najisikia mwili/uboo una banwa sana na ninashindwa kukojoa, nakuwa natumia nguvu nyingi kukojoa hali amabyo magor mawili nakuwa hoi. Ushauri wenu nitumie aina...
  15. F

    Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi ya Wakurugenzi na Watendaji ya Barrick Corporation Group...

    Alafu uwe unatutolea ujinga wako Ni na wasi wasi kama nawewe umekula hizo hela kwann unawakingia kifua? Hata musukuma huwa anasema "hakuna kuogopana hapa" nakushangaa we mtz mwenzetu unaanza kuwa mwoga, watu kama nyie ndio mliotufanya tuwe hapa tulipo tuna taabika tu
Back
Top Bottom