Wrong Number

Mar 10, 2017
45
25
Dah wadau msaada wenu kuna dem nilikuwa namfukuzia sasa kila nikitaka nionane nae bila ya yeye kujua inashindikana sasa siku ikabidi niombe namba yake, siku napewa ile namba kumbe haikuwa yake ilikuwa ya mfanya kazi wao alafu mdogo mdogo ivi ila uzuri anao, sasa nikawa nachat nae siku nimemwita sehem anakuja namuona mwingine hapo ndipo nilipo ishiwa pozi kabisa. Ilinibidi nizugezuge tu hapo nikamwambia siku ingine nitakuita.
Swali na msada kutoka kwenu, Mi nimfanyaje huyu mtoto maana hata kwenye simu ananisumbua kweli anataka kujua siku nitakayo muita.
 
Tabia za 'kivulana' hizi.. Unaona uvivu gani kusema nilikua sikuhitaji wewe ila dada yako wa hapo nyumbani unapoishi.!??
 
Unataka nikutukane ila ngoja ninyamaze..

Kama mpaka sasa hujajua lakufanya mshitaki huyo binti
 
Bado unaomba namba kwa mtu ambae si muhusika? Msimu wa baridi huu angalia sana
 
Back
Top Bottom