Sinta na Nature, Shindano la mfalme wa Rhymes, Wakati huo miss Tanzania ya Hashim Lundenga ilikuwa ya moto sana na ikitoa vyuma hasa hata kichwani ingawa ilizingirwa na scandal za kutosha, Kaole Sanaa Group wakiwa na watu kama Ray, Muhogo Mchungu, Bambo, Swebe, Kibakuli nadhani Kina mzee Jengua...