Recent content by Ford Range

  1. Ford Range

    Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

    😂😂😂😂😂, sikuwa na mpango wa kuandika chochote kwenye huu uzi lakini kwa hili la kwako imenibidi, nimecheka kwa sauti kubwa. Kwa mapishi ya ndizi nawapa big up WACHAGGA, ninayaelewa sana mapishi yao ya ndizi.
  2. Ford Range

    Nawezaje kutoka kwa mwanadada huyu

    Mzee wa fursaa😂😂😂😂
  3. Ford Range

    Nawezaje kutoka kwa mwanadada huyu

    😂😂😂😂😂
  4. Ford Range

    Wazazi hawataki nioe Mwanamke toka Bukoba

    Fikisha salamu zangu kwa Bi Nimimi yule muigizaji wa tamthiliya ya PETE.
  5. Ford Range

    Nimekuja kujua kwamba wife kanisaliti mwaka jana mwanzoni

    Mkuu, kwani ukioa bikra ndo uhakika kuwa hutagongewa kweli? unaweza ukawa umepata huyo bikra lakini katikati ya safari yenu ya maisha shits zikatokea na akaanza kuipeleka nje. Haya mambo ni magumu sana yani daah, Mungu azisaidie tu hizi ndoa, maana yeye ndo aliianzisha hii taasisi kwa mujibu wa...
  6. Ford Range

    Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

    Maslahi ya chain ya muziki wetu bado inasafari katika baadhi ya mambo mkuu. Lakini angalau kwa sasa ukilinganisha na tulikotoka though katika upande wa audio production nahisi wakati ule wa kina MAJAN na Master Jay walipiga sana pesa ukilinganisha na hiki kipindi cha hapo kati mpaka leo.
  7. Ford Range

    Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

    Kuna interview moja niliwahi kumsikia Nahreel akiadmit kuwa audio production hailipi, yaani watu hawalipi wanachukulia poa tu na wakilipa ni kile wanachojisikia, hapo ndipo alipoamua kuweka bei na mkataba wa malipo kuwa ili akutengenezee mdundo sharti ulipe Tsh 1mil. Hapo ndipo wasanii karibu...
  8. Ford Range

    Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

    Iliuza sana, hata ile Game ambayo wapo na Vmoney plus Katika wakiwa na Mond na hapo neno sotojo ndo lilijipatia umaarufu kwenye masikio ya wengi.
  9. Ford Range

    Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

    Wanajua wanachokifanya mkuu, ndo maana hawabadiliki. Nadhani toka nimewafahamu wananyimbo nne pekee zilizokaa kiswahili swahili tu kuna ile ngoma yao kwanza kabisa kama Navy Kenzo inaitwa Chelewa aka Bokodo, Moyoni, Cheza kizembe na Usinibwage. Mikwaju mingine yote baada ya hapo ni kule mbele...
  10. Ford Range

    Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

    Navy Kenzo wapo katika dunia yao peke yao, mziki wao si wa nchi hii ya waswahili ndo maana jamii kubwa ya waswahili haiwaelewi. Twende mbele turudi nyuma wawili hawa hasa Nahreel ana mikono ya dhahabu kwenye midundo, tunatofautiana namna ya kusikia lakini kwa mimi niliyeanza kufatilia mziki...
  11. Ford Range

    Wanawake mnaofanya kazi hizi office acheni kuringa.

    Dona, ngoja nikuite hivyo kama yule wa kwenye series ya SUITS. Nipasie mmoja unayemjua nimlee.
  12. Ford Range

    Kusaidia watu wasiokusaidia

    Nimefurahi sana kukuona tena hapa aiseeee, Miss Natafuta.
  13. Ford Range

    Tukumbushie Showbiz kitambo hicho

    Kiukweli mkuu, ukiachana na wananiita sugu na ile watu nazo pesa, Sugu moto chini, ngoma nyingine za sugu sikuwa nazielewa aisee, labda kwasababu nilianza kuifatilia bongo flavor mwanzoni mwa miaka ya 2000 ambapo tayari tasnia ilikuwa imeshaanza kuwa na vijana wengi na wenye ladha tofauti katika...
  14. Ford Range

    Tukumbushie Showbiz kitambo hicho

    Sinta na Nature, Shindano la mfalme wa Rhymes, Wakati huo miss Tanzania ya Hashim Lundenga ilikuwa ya moto sana na ikitoa vyuma hasa hata kichwani ingawa ilizingirwa na scandal za kutosha, Kaole Sanaa Group wakiwa na watu kama Ray, Muhogo Mchungu, Bambo, Swebe, Kibakuli nadhani Kina mzee Jengua...
Back
Top Bottom