Recent content by FORBIDDEN HISTORY

  1. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Kila nikitafuta cha kujivunia mimi kuwa mwafrika nakikosa

    Ndipo uwezo wao wa fikra na exposure ulipo ishia
  2. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Kila nikitafuta cha kujivunia mimi kuwa mwafrika nakikosa

    Sijaongea chochote kuhusu wazungu. Nafikiri sasa umepata point yangu ya tabu ya "afrikana"
  3. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Kila nikitafuta cha kujivunia mimi kuwa mwafrika nakikosa

    Sio kwamba najichukia binafsi ila naichukia hii jamii ya kuitwa afrikana. Ni ngumu kukaa katika jamii ambayo utimamu ni adui, utimamu ni kihere here. Afrika aliesoma zaidi yako ni amesoma ili akuminye wewe usio na uwezo wa kisomo chake maana hauwezi kukaa katika kiti cha ku-control vile uishi...
  4. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Upendo wa 'Open Kitchen' matatani kimapenzi

    Bongo muvi
  5. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Huyo sio mkoloni. Ni mpumbavu, hawa ndio wale wanaowalamba waarabu miguu kisa tu waliwaletea dini huku wakisahau waliwachapa babu zao viboko na kuwaua. Atafanha yote mwarabu atamuagiza ila kumsaidia mwanae anaona kama anajidharalisha min -me wewe ni mpumbavu sana, aya andika upumbavu mwingine
  6. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Safi sana mkuu. Alafu unakuta mtu anasema hivi anaonekana mzembe au tegemezi.
  7. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Waafrika akili hawana mkuu, hawana intelligence ya kusolve tatizo kwa ungwana
  8. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti

    Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, cha kushangaza unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti UMASIKINI NI MENTALITY NA SIO POSESSION
  9. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania China yaingia rasmi soko la memory chip (DDR5) na gaming GPU. Samsung, SKhynix, Nvidia, Micron na AMD tumbo joto

    Huyu fala hajui wachina walivyotafuna nchi yake hadi hii leo, anashoboka tu. Mtu siejua historia yake, hajui hatokapo na anapoenda.
  10. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu kanogewa kukaa kwangu. Kamaliza chuo 2020 lakini haondoki, nifanyeje?

    Shemeji yangu sasa kanogewa kwangu, amemaliza chuo 2020, bado anasema anasikilizia mchongo. Shemeji Anashindia TV, kupiga stori na mdada wa kazi na vijiweni Namuambia ajifunze ufundi anasema yeye anasema muda wake maalumu utafika
  11. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Mambo 3 muhimu ambayo Xi amemuonya Trump wakiwa ana kwa ana kwenye mkutano Beijing

    Pumbavu yani upo buza unajifanya ulikuwepo kwenye kaamati Mandazi ww
  12. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania What is your secret obsession

    Napenda na siwezi jizuia kumpa masaji ya mmgongo demu naemzimikia huku dude langu likiwa juu ya mstari wa makalio yake. Msinihukumu.
Back
Top Bottom