Sio kwamba najichukia binafsi ila naichukia hii jamii ya kuitwa afrikana.
Ni ngumu kukaa katika jamii ambayo utimamu ni adui, utimamu ni kihere here.
Afrika aliesoma zaidi yako ni amesoma ili akuminye wewe usio na uwezo wa kisomo chake maana hauwezi kukaa katika kiti cha ku-control vile uishi...
Huyo sio mkoloni.
Ni mpumbavu, hawa ndio wale wanaowalamba waarabu miguu kisa tu waliwaletea dini huku wakisahau waliwachapa babu zao viboko na kuwaua.
Atafanha yote mwarabu atamuagiza ila kumsaidia mwanae anaona kama anajidharalisha
min -me wewe ni mpumbavu sana, aya andika upumbavu mwingine
Baba yako amestaafu upo home hauna ajira miaka 5, cha kushangaza unasikia ametoa million 10 mchango wa ujenzi wa kanisa au msikiti
UMASIKINI NI MENTALITY NA SIO POSESSION
Shemeji yangu sasa kanogewa kwangu, amemaliza chuo 2020, bado anasema anasikilizia mchongo.
Shemeji Anashindia TV, kupiga stori na mdada wa kazi na vijiweni
Namuambia ajifunze ufundi anasema yeye anasema muda wake maalumu utafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.