Recent content by fongola

  1. F

    Mavazi katika ofisi za Umma: Utumishi watoa mwongozo

    Utaratibu kwa wale walio ofisini kwako ni sawa mi ninayekuja kupata huduma kwa muda mfupi tu nawajibika vipi kufuata utaratibu unaoathiri namna ninavyoishi?
  2. F

    TB JOSHUA: Kuna Rais East Africa atatekwa na Club kulipuliwa

    Kama angelikua ni shekh ungekua na jeuri ya kumkashifu namna hii, tufika mahali tuwaheshimu viongozi wetu wa kiroho, huyu kwangu na wengine wengi ni kiongozi na anastahili heshima yake kama kuna jambo hulifurahii kuhusu yeyr si lazima utoe dukuduku kwa maneno ya kejeli, kwa mujibu wa kitabu...
  3. F

    Freeman Mbowe aripoti tena Polisi (Makao Makuu); Ashikilia Msimamo Kutowapa Ushahidi

    yamewafika ya Shingo, lazima kutapatapa, anyway! If God is for us, who is against us!
  4. F

    Freeman Mbowe aripoti tena Polisi (Makao Makuu); Ashikilia Msimamo Kutowapa Ushahidi

    yamewafika lazima kutapatapa, If God is with us who is against us! Wamechelewa!!
  5. F

    Jamani nisaidieni, Pepo Kali la Ngono linanimaliza...

    Rafiki umewahi kusikia habari za Yesu? Yako mambo mengi Yesu anfanya kwenye maisha yetu amefanya kwangu mengi anaweza kufanya na kwako pia! Tatizo lako si kitu kwake atayabadilisha maisha yako na utafurahia utu wako mpya na kujutia muda mwingi uliopoteza bila kuwa nae, Nakuhakikishia hutajutia...
  6. F

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    kweli shibe mwana malevya njaa mwana malegeza,baada ya kuwa mbunge habari tena basi hadi anaomba vyombo vya habari vifungiwe sikujua kuwa alikuwa mwana habari kwa sababu ya njaa, mi nilidhani ni wito, kweli ukitaka kuujua uhalisia wa mtu mpe chakula ashibe uone anavyobwabwaja!
  7. F

    Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

    Aluta continua, safari ya mafanikio haina mtelemko hata kidogo, walio mstari wa mbele wanaonekana wanaumizwa lakini mateso yao siyo bure na Mungu hataacha mateso haya kudumu kwa muda mrefu, TULIKOTOKA ni mbali tunakokwenda karibu, labada mtuuue wote only two years have left kwa utawala huu...
  8. F

    Juliana Shonza amlipua Mbowe

    Pole bidada pole eeh unatumika! Du na mdomoni
Back
Top Bottom