Nyie viumbe vya ajabu sana,,,unataka kuniaminisha kwamba kilele yenu sio tamu,,,ni PM namba yako tuongee mambo ya kikubwa kama kupeana elimu ya mnyanduano please nakuomba na sio kwajili ya mahusiano ni elimu tu
Bora umekuja kumaliza utata wakati watu wa certificate na diploma tunaishi nao reasoning zao ziko chin sana ingawa wapo pia wa advance ambao wapo kama hivi ila ni wachache sana wao kinachowachanganya ni kuona namba yao ya kuajiliwa kwenye diploma ni kubwa kulko wa degree wanadhan wa diploma ni...
Sio wana prefer vyuo vipo kwaajiri ya kutafuta wateja dogo ndo mana kunavyuo wanatangaza hata ukiwa na D mbil unaenda kusoma na hawa wa D mbili ndo wapo kwenye Field alafu mnataka nchi iendelee kiteknolojia na watu wa D mbili
Kijana naona kama bado huelew mambo yanaendeje kwenye nchi yale yanayokatazwa ndo chanzo cha pesa tunawakataza ili tule sisi tu huko ulikosemea huwez mkuta mtoto wa maskin huko jiulize?
Hapa ishu sio sabab kwamba diploma wapo vizuri nooo... ishu hapa ni mishahara yao midogo kwaio boss lazma aajiri wa diploma ili abalance fedha hii sio kwa makampun binafsi tu hata serikali ndo inachokifanya chukulia tu mwalimu wa certificate alikuwa analipwa 300000 na upuuz alaf mwalimu wa...
Wewe sio msomi ni kubwa jinga na utatumika vibaya sana iv kwa akili yako hiyo ndogo mtoto wako utamrithisha huo uchawa,,,kwanza wewe hujion kama ni mdhaifu sana umechagua kuwa mtoto wa mama kweli? Haya sawa umesema umesoma yan kusoma kwako kotee ukaona uchawa ndo kazi nzuri hapo ni unatumika tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.