hii mimi naweza nikaelezea kibaolojia kwamba, wanaume wengi tumekuwa dhaifu sana ktk tendo la ndoa kutokana na utandawazi, kuchoka, vyakula vya kisasa na shughuli nyingi za hapa na pale, hivyo basi kupelekea kupata watoto wa kike wengi na wanawake wengi kujifungua kwa njia ya upasuaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.