Ndio ni mbezi ya kimara mkuu,kiwanja tunaanza kupima 20*20 na square meter 1 ni 30000 tu na malipo ni kwa miezi 10 kwa taarifa zaidi nicheki 0625990885.asante
Afu najiuliza mbn kina babu seya tu ndo tunawasisitiza waombe msamaha as if wametenda makosa ambayo awastaili tena,ili tuwe fair kwann tusiwasisitize wote waliopewa msamaha na raisi wakawaombe familia walizozikosea msamaha coz kuna wengine waliua kabs.
Ko we unatakaje? Au unataka waeke matangazo ya kuomba msamaha wat if wameenda kuwafata waanga utajua vipi au unataka uende nao? Au basi watafute uwaelekeze unazotaka wafanye ili usuuze roho yako,embu usilazimishe kila mtu aamini unachoamini
Jamani tuwaache wapumzike na km ni swala la kuomba msamaha kwa familia za wahanga tutajuaje km wamefanya ivo aina aja ya kuanzisha post za kuwashinikiza km amani ya kristo ikiamua ndani yao watafanya tu ni swala la muda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.