Recent content by flood

  1. flood

    Forex experts tukutane hapa kujadili namna ya kutrade new Trump market

    Youtube napenda kufuatilia Data Trader naona yuko vizuri anakupa indicator na supporting zake
  2. flood

    Forex experts tukutane hapa kujadili namna ya kutrade new Trump market

    Hii nilipandisha leo saa 6 mchana kwa ajili ya New York kwasababu inafanya vizuri (London ni kwa ajili ya setup tuu dont trade itakuumiza kichwa) inaenda mpaka 86000 ila mpaka saa 4 usiku ila sipendi kujitesa na mawazo wakati pips 800 zinatosha Sababu ya kupanda ni Metaplanet walitangaza...
  3. flood

    Forex experts tukutane hapa kujadili namna ya kutrade new Trump market

    Naomba niwe naweka entry na exit nimejaribu kwa wiki 2 na zinafanya vizuri sana. Nitaweka muda wa entry na exit ni about 2 - 4 hours utakavyoona umetokesha Naomba mjaribu wa Demo japo mimi naweka Real. Profit ni double japo huwa napenda kuchukua 50%.
  4. flood

    Forex experts tukutane hapa kujadili namna ya kutrade new Trump market

    Download Exness then anza kutrade. Hakikisha unapitia short video youtube na tiktok andika forex. Base kwenye kujifunza kuliko kupata faida. Ukishakuwa na ujuzi na maarifa ya FOREX hela itakufuata yenyewe. Baada mwezi 1 nicheki. Ila uwe na roho yakuhimili mazito. Maana kutrade ni sawa na...
  5. flood

    Forex experts tukutane hapa kujadili namna ya kutrade new Trump market

    Hii wiki moja nyuma ilikuwa tight sana mimi si trade pair yenye USD zaidi ya BTC na XAU. Kila ukitega inagonga SL
  6. flood

    Forex experts tukutane hapa kujadili namna ya kutrade new Trump market

    Naona mambo yamerudi shwari monday na tuesday iliyumba sana
  7. flood

    Forex experts tukutane hapa kujadili namna ya kutrade new Trump market

    Hali sio nzuri kwa upande wangu naweza kupandisha trade double lakini ikifika kuanzia saa 5 narudi nilipokuwa. Muds naomba kuweka link ili kunusuru traders https://youtu.be/5J01qKDAziM?si=fgGr9YmXU2BlCFxN Kiukweli hali ya sasa inalazimisha kuwa scalper 5min unaingia na kutoka kitu ambacho sio...
  8. flood

    Bado sijapata suluhisho la Mwanangu kuongea

    Ajibu alimpata mtoto akiwa na umri gani
  9. flood

    Nilimruhusu msaidizi auze bidhaa zake ndogo ila zinamlipa kuzidi mshahara wake. Je, nifanye maamuzi gani?

    Mawazo ya watu humu hayatakusaidia zaidi wataona una roho mbaya. Siku zote jipe muda na katika muda huo muombe Mungu akuongoze kufanya maamuzi huwezi jua unasaidia wangapi kupitia huyo uliyemuajiri, huwezi jua labda ni jaribu lako na Mungu anampango wakukupa kikubwa ili usaidie wengine...
  10. flood

    Matokeo ya ACSEE 2008

    Cut off ya BAF Mzumbe 2009 ilikuwa point 5. Mnanichanganya kusema paper ya 2008 ilikuwa ngumu
  11. flood

    Kufanya biashara kunafikirisha sana hasa ukiwa na mtaji mdogo unahitaji uwe na back-up usogee

    Unampa mtu hela ndio anaona shida zake ni kubwa kuliko zako. Mil 6 uliyonayo ni kubwa sana kama hautajilinganisha na mtu. Wewe nunua kwa hao wenye mtaji wa kati na uza, faida irudishe kwenye mzunguko na ndani ya miaka mitano utaingia kwenye system na wao wakuunganishe na matajiri. Maisha ni...
  12. flood

    Kikwete: Historia itatoa hukumu ya haki kuhusu uongozi wangu

    Akili kubwa. Natamani nieleze jinsi wapigaji walivyokuwa wanafanyahujuma huku serikalini na Kumaliza kodi za WaTz kwenye posho na vikao lakini % kubwa ya wapigaji ndio wamejazana humu na kutetea maslahi binafsi.
Back
Top Bottom