Recent content by Flechaa

  1. Flechaa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huu uzi napita kila siku napiga moyo konde sitasema kitu ila leo yamenifika hapa acha niandike bhana. Kipindi Niko chuo nasomea Ualim wa Msingi Grade A Chuo flani Private Arusha. Licha ya kua na miaka 19+ bado nlikua sijawahi gusa papuchi achilia mbali kuiona. Sasa kuna madam mrembo alikua...
  2. Flechaa

    Mwanamziki Simi

    Hahahaha am glad sikuona peke yangu na pale ambapo aliweka ice cream shavuni ndo bf wake amkiss ili awakomeshe wale mabinti. Ila Apo pa face your front ndo balaa. Ila Lovin NYIMBO Kali Sana na video kadance fresh na imedirectiwa vizuri mno
  3. Flechaa

    Mwanamziki Simi

  4. Flechaa

    Mwanamziki Simi

    I surrender to your ilekedi alaf ilekedi yenyewe ni shanga za kiunoni hatari sana ilo lingoma aiseeh walitengeneza chemistry nzuri mno na mr eazi. pia wana ngoma hii nyingine ya doyin ni nzuri mno.
  5. Flechaa

    Mwanamziki Simi

    Hii ni miongoni mwa chorus bora zaidi kuwahi kufanyika aiseeh. yaani ile sauti pale ni nzuri mno. Huo wimbo wametengeneza chemistry nzuri mno kama ilivyo jina la wimbo
  6. Flechaa

    Ni aina gani ya muziki usioupenda au hujatokea huuelewa kabisa?

    Hakuna yoyote nzuri mkuu? Binafsi mimi nazipenda Kesho, Halleluya na Kamwambie
  7. Flechaa

    Ni aina gani ya muziki usioupenda au hujatokea huuelewa kabisa?

    Kuna watu huo ndo aina yao waipendayo ila mimi masikioni mwangu siuwezi kabisa aiseeh hasa zile mipasho kila mstari
  8. Flechaa

    Mwanamziki Simi

    Ayo naupenda kupitiliza aiseeh. nawatumia pia watu mbalimballi na kuwaencourage kusikiliza sema ndo vile kil amtu ana ladha yake kwenye mziki ila nikimkuta mtu anaujua na kuusikiliza huu wimbo napata faraja sana. yaani Beat yake,sauti ya simi plus video sasa namna alivyoifanya na wale wanajamii...
  9. Flechaa

    Ni aina gani ya muziki usioupenda au hujatokea huuelewa kabisa?

    Msaga sumu aliumiza kichwa ndo akaja na kibao chake maarufu cha mwanaume mashine:D:D:D:D
  10. Flechaa

    Ni aina gani ya muziki usioupenda au hujatokea huuelewa kabisa?

    You mean Lil wayne mkuu yeye anafanya mziki wa rap/hiphop
  11. Flechaa

    List yangu ya Stand-Up Comedians ninaowakubali zaidi

    YY ni miongoni mwa the greats hapa east africa sema ni underated sana yaani watu hawamchukulii kwa uzito na ukubwa wa kipaji chake kabisa. Nikitaja tano bora pale churchill show YY simuachi aiseeh
  12. Flechaa

    Mwanamziki Simi

    Hiyo aliyoimba na mumewe adekunle gold inaitwa promise me ni motrooooo. sasa apo kwenye doyin ndo kisanga zaidi alaf nyimbo yenyewe haina ata muda saaana ila inakimbiza mno huko youtube.huyo bwanaake mwenyewe ana lijimbo lake linaitwa Before you wake up duh aiseeeh siichoki maskioni mwangu
  13. Flechaa

    Mwanamziki Simi

    najaribu kukuwekea my favourite mkuu
  14. Flechaa

    Ni aina gani ya muziki usioupenda au hujatokea huuelewa kabisa?

    wewe kama mimi mkuu biti zilezilee na kelele nyiingi
Back
Top Bottom