sina hakika sana lkni inawezakana ikachangia haswa mazingira na hali ya kuchagua sana na kuona kuwa ww ni wa hadhi flan hvyo hakuna mwanamme wa stail yko
dah kwanza mkubwa pole snaa maana hlo nijanga kubwa sanaaa limeingia ndan kwako,ila kama unaweza jikaze kisababu dawa ya moto ni moto we tengeneza mazingira endelea kula mdo mdo kwa dada na yeye aendele na josse
kila mtu anahaki ya kuishi na kuamini hakika wapo wanaoamini wapo pekee yao na pia wapo ambao hawaamin hcho kitu hvyo nikila haki ya mtu kufwata kile anacho amini usihishi kwa kutumia hisia za mtu ishi ww ka ww.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.