Tutatukanwa Sana Na Kuitwa Majina Mengine Mengi Yasiyo Ya Kwetu (eg.tumbili) Huku Hela Na Rasilimali Zingine Zikiliwa Na Mafisadi (majitu),sasa ili kukabiliana na ubeberu huu ni muda muafaka sheria ifanyiwe marekibisho ili watuhumiwa wakipatikana na hatia waendelee na adhabu kali kiasi cha...
Kama Ndiye Aliyemfikisha Mpaka Pale Alipo,na Anataka Kuuambie Umma Uliokuwa Unamsikiliza, Kwa Akili Yako Angetumia Maneno Gani Ili Na Wewe Usione Ni Masimango ?
wewe nawe uko kama m.....u kwa sababu utafiti kama ule uliomweka dr.slaa nyuma ya pinda unautetea.hata pinda utafiti unasema anamzidi dr.slaa,that's is shame ! Ni wa hovyo kusema hivyo hakuna haja ya utafiti.
Wakati viongozi hawa waandamizi wa serikali ya Tanzania wanasema hakukuwa na ukweli juu ya pembe za ndovu zilizotoroshwa wakati wa ziara ya rais wa China, vyombo vya habari vya kimataifa hususan "Al jazeera" na "BBC" vinasema vina ushahidi usiotia shaka juu ya tuhuma hiyo. Vyombo hivyo vimeenda...
Wakati Wamama Wengi Humu Nchini Wanakufa Kwa Ukosefu Wa Madawa Na Vifaatiba,wewe Na Mumeo Mmekaa Kwenye Ma-garden Mazuri Ya Huko Usa Kama Kwamba Hakuna Tatizo Tanzania.Hali Iko Mahututi,hebu Rudini Mara Moja Nyumbani Kwenu Mkatoe Majibu Ya Matatizo Haya Taifa Liondokane Na Aibu Hii....Wakulima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.