Tupunguze kidogo porojo mkuu, watu 10,000 kuuwawa si jambo kuzungumza bila fact. Vita ya Iran leo inaenda wiki ya 4 watu wameuawa karibia 3,000 na mabomu yote yale. Eti huku kwetu wauwawe watu hao 10,000 ndani ya siku 3, kwa silaha na jeshi katili la aina gani hilo, unafanya mchezo wewe. Hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.