Recent content by Financial Analyst

  1. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Mabaya haya yana faida gani?

    Mtu unakuta anaitwa jina linamaanisha matako , yaani MAKEBO. ni mateso sanaa aisee
  2. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Alieko karibu na kalapina amwambie kuwa sugu sio level yake. Mtu mzima bado mtaa upo kichwani wakati sugu ni executive mind.

    Mtu huyu atakuwa katika 40s ili bado mtaa umemkaa kichwani, Hurka yake ni fujo za mitaani ambazo zilipekea hadi watu kuumia. Wakati huo bado anapambana na upumbavu wa mitaa na umri ukiwa umeenda, mr 2 sugu aka 2 proud anafanya mambo international na anasaini mikataba ya mpunga. Mtu mwenyewe...
  3. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania ATTENTION kwa wanawake ndio SEX kama ilivyo kwa wanaume

    Napenda kuwapa attention mabinti wenye MAKEBO MAKUBWA. Seran Mallerina njooni niwape attention maan nyie ni CURVY QUEENS
  4. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Dunia hii siwezi danganywa jambo nimeyapata maarifa sana kwa njia nyingi sana

    Wewe ni tunajua akili yako ni mavi mavi ndio maana unaitwa makebo yaani matacco😁
  5. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha jini mahaba wala jini makata, haya majini yote ni ubunifu kutoka akilini mwako

    Mkuu kwa hio unataka kusema kuwa secretarybird na Chizi Maarifa wana majini yanawasumbua eti ndio maana wapo addicted na mademu wenye Makebo makubwa🤔
  6. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA AJIRA; zawadi na baraka imng'arishayo mwanamke

    JF bwana , unaweza ni kidume yupo geto ameshiba wali wa jana na anaandika huu uzi kwa style ya kikeke kike😉😆
  7. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Siri ya ndoa sio upendo. Siri ya ndoa ni UVUMILIVU. Ni babaako au mamaako pekee ndio atakubaliana na hili ila wewe ni ujuaji tu unakusumbua

    Hivi unadhani utapendwa vile vile after 10years or 5 years? Hivi unadhani uzuri uliomchagulia utakuwepo after 15 years or 10 years. Hivi unadhani kuna atakaevumilia 6 years ya kupata sex sehemu moja tu? Baba yako na mama yako wako pamoja 40 years sio kwa sababu eti wanapendana kwa dhati , ni...
  8. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Hivi tuna uhakika kuwa hawa watoto wa late 2000s na 2010s wanaujua ukimwi nje ndani. Tuendeleeni kuwakumbusha

    Hivi ukimwi sio tishio tena? Ni kweli maambukizi yameshuka au watu wanaishi nayo kishkaji kutokana na madawa? Mnakumbuka kipindi kile ndugu yako kila mtu amemkimbia kwake na mkimchungulia dirishani amebaki mifupa na macho meupe na amejikatia tamaa kusubiria kifo. Mnakumbuka kipindi kile kila...
  9. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sura mpya ya chama cha democrat huko marekani

    Ulivyotaja uchapati cocastic na Yoda wamefurahia sana😆
  10. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Malizia hii wikiendi kwa kuendelea kukataa pombe na ulevi. Jilinde dhidi ya kufirisika, magonjwa, talaka, kudumaa na kufanya vituko ukiwa umelewa

    Marafiki wakikuita velvet waambie upo na famila beach kwa zena Marafiki wakikuuta kitambaa cheupe waambie upo plaza unacheki movie na wadogo zako. Malaya zako wakikuita zile pubs za tabata, waambie wiki hii una marejesho Washkaji wakisema wanakulipia bill kwa leo, waambie unaumwa na hauwezi...
  11. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania ISIS iliua watoto wa mama hawa mateka. Ikapika miili yao na kuwachanganyia na wali kuwapa mama zao. Wamama walipogundua hil wengi walijiua kwa uchungu

    Waliwabaka kila mara, kuwauza mabinti zao kama watumwa wa kingono kwenye iliokuwa chini yao. Ila kuna watu wa JF watakuja kuwakingia kifua sababu tu wana share nao itikadi moja. UTU na UBINADAMU zero, USHETANI 100%
Back
Top Bottom