Mtu huyu atakuwa katika 40s ili bado mtaa umemkaa kichwani,
Hurka yake ni fujo za mitaani ambazo zilipekea hadi watu kuumia.
Wakati huo bado anapambana na upumbavu wa mitaa na umri ukiwa umeenda, mr 2 sugu aka 2 proud anafanya mambo international na anasaini mikataba ya mpunga.
Mtu mwenyewe...
Hivi unadhani utapendwa vile vile after 10years or 5 years?
Hivi unadhani uzuri uliomchagulia utakuwepo after 15 years or 10 years.
Hivi unadhani kuna atakaevumilia 6 years ya kupata sex sehemu moja tu?
Baba yako na mama yako wako pamoja 40 years sio kwa sababu eti wanapendana kwa dhati , ni...
Hivi ukimwi sio tishio tena?
Ni kweli maambukizi yameshuka au watu wanaishi nayo kishkaji kutokana na madawa?
Mnakumbuka kipindi kile ndugu yako kila mtu amemkimbia kwake na mkimchungulia dirishani amebaki mifupa na macho meupe na amejikatia tamaa kusubiria kifo.
Mnakumbuka kipindi kile kila...
Marafiki wakikuita velvet waambie upo na famila beach kwa zena
Marafiki wakikuuta kitambaa cheupe waambie upo plaza unacheki movie na wadogo zako.
Malaya zako wakikuita zile pubs za tabata, waambie wiki hii una marejesho
Washkaji wakisema wanakulipia bill kwa leo, waambie unaumwa na hauwezi...
Waliwabaka kila mara, kuwauza mabinti zao kama watumwa wa kingono kwenye iliokuwa chini yao.
Ila kuna watu wa JF watakuja kuwakingia kifua sababu tu wana share nao itikadi moja.
UTU na UBINADAMU zero, USHETANI 100%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.