Recent content by Financial Analyst

  1. Financial Analyst

    Biashara ni mtaji, hakuna mganga, shehe wa visomo au aposto yoyote hapa duniani ana dawa ya kukuza biashara yako

    Hawa wakina kimnyamkela humu ndani wanawadanganya na vidawa na matarajio bandia huku akiwa amenyoosha miguu kwenye kochi la shemeji yake. Pesa ni uhalisia, ingekuwa kuna miujiza ya kuvusha watu kibiashara basi kungekuwa kuna rundo la wafanyabiashara waliondelea katika nchi hii ila wapo limited...
  2. Financial Analyst

    Ukiangalia stori za dini zote hapa dunia zilifikishwa kwa watu kwa hiari ila kuna hio moja ilibidi watu wafanyiwe fujo ndio wengine wapokee kwa lazima

    Tena kwa mauaji na unyang'anyi. Nisengependa kuwataja ila mnawajua na watakuja kwenye comment kutisha watu maana wanajijua🤐
  3. Financial Analyst

    Hivi kuna watu hapa duniani wana gubu kama watoto wa nje ya ndoa, watoto wa kambo, watoto wa mke mdogo na watoto wanaolelewa na ndugu?

    Hawa ni wafalme na malkia wa kunung'unika muda wote, wanafiki wa kuchonganisha na muda wote huwa wanawaza jinsi gani mali zitakavyogawa. Bastard children!!!
  4. Financial Analyst

    Nimeshuhudia mama yangu akisali kwa moyo na imani miaka 15+ ila bado anapitia mateso ya baba. Anaumwa pia, ila baba ndio bado ana enjoy maisha

    Unapenda sana kuita wenzako choko, unaonekana unapenda sana kufirw wewe kum la mamako Hoja hauna unaishia kutukana wenzako
  5. Financial Analyst

    Wadada wa JF, tumewamiss, rudini jukwaani, mmepotea sana

    Huu ukimya hadi una unakera na kutupa wasi wasi
  6. Financial Analyst

    Mjadala huru: Kwa nini Uislamu unasemwa ni Dini ya haki?

    Hivi wewe ndio wanakuita mlenda humu mara sijui andazi
  7. Financial Analyst

    Kama asili ya mwanadamu ilikuja kabla ya dini kuja kwanini akubali imuendeshe? then ukitaka kumjua Mungu wa kweli achana na mambo ya dini

    Ushawahi kujiuliza kuwa wale watu waliokuwepo kabla ya dini yako kuja wataenda wapi? Mbiguni au motoni? Dini inakufanya ukae mbali na Mungu wakati umekaa nae hapo pembeni yako. Dini inakufanya ukae mbali na ukweli wa asili yako ili ukumbatie stori za kusadikika na kufikirika. Dini...
Back
Top Bottom