Recent content by Financial Analyst

  1. Financial Analyst

    Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

    Nimeshaualiwa nimpatie infacol na mafuta ya samaki (scotts), ni sahihi?
  2. Financial Analyst

    Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

    Habari. Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yaani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable. Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda...
  3. Financial Analyst

    Hii ndio logic ya kumuomba Lucifer: It is very very reasonable

    Ndugu naomba uingie Pm tafadhari. Sio kwa ajili ya msaada huu ila jambo jingine kabisa
Back
Top Bottom