Hawa wakina kimnyamkela humu ndani wanawadanganya na vidawa na matarajio bandia huku akiwa amenyoosha miguu kwenye kochi la shemeji yake.
Pesa ni uhalisia, ingekuwa kuna miujiza ya kuvusha watu kibiashara basi kungekuwa kuna rundo la wafanyabiashara waliondelea katika nchi hii ila wapo limited...
Hawa ni wafalme na malkia wa kunung'unika muda wote, wanafiki wa kuchonganisha na muda wote huwa wanawaza jinsi gani mali zitakavyogawa.
Bastard children!!!
Ushawahi kujiuliza kuwa wale watu waliokuwepo kabla ya dini yako kuja wataenda wapi? Mbiguni au motoni?
Dini inakufanya ukae mbali na Mungu wakati umekaa nae hapo pembeni yako.
Dini inakufanya ukae mbali na ukweli wa asili yako ili ukumbatie stori za kusadikika na kufikirika.
Dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.