Recent content by FILBERT FURUGUTU

  1. F

    Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

    Habari za asubuhi wadau, mimi naomba kuwarushia lawama hasa viongozi hawa hasa Mbowe na Zitto, wote ni viongozi makini ambao wanahitajika katika harakati za mabadiliko ya haraka ndani ya nchi hii. Namtaja mbowe kwakuwa ndiye ameshikilia usukani wa CHADEMA, kweli mh. Imeshindikana kumuita Zitto...
  2. F

    Freeman Mbowe akabidhiwa fomu za kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa

    Ndugu mayange jitokeze uandike jina lako halisi nikujue ni nani, kwani ulichoandika hapa kina ukweli kiasi flani kwani nikweli, mtoto wa mama bosco kaoa mwanae mzee athumani yasini, ila si kweli kuwa mzee hana maana kiasi hicho, na siamini kama mwanae kakujibu hivo. Nikweli mzee ni mjanja janja...
  3. F

    Mwenyekiti CHADEMA mkoa wa Ruvuma unaiua CHADEMA Songea

    kwani kachaguliwa kuwa kiongozi.
  4. F

    Intelijensia ya CHADEMA yabaini mamluki Arumeru Magharibi. Washindwa vibaya baada ya kugundilika

    Siasa ni ngumu sana. Kwani nahiyo ni moja ya mbinu ya kisiasa?
  5. F

    CHADEMA Songea mapande mapande!

    Ndio siasa hizo.
Back
Top Bottom