Habari za asubuhi wadau, mimi naomba kuwarushia lawama hasa viongozi hawa hasa Mbowe na Zitto, wote ni viongozi makini ambao wanahitajika katika harakati za mabadiliko ya haraka ndani ya nchi hii.
Namtaja mbowe kwakuwa ndiye ameshikilia usukani wa CHADEMA, kweli mh. Imeshindikana kumuita Zitto...
Ndugu mayange jitokeze uandike jina lako halisi nikujue ni nani, kwani ulichoandika hapa kina ukweli kiasi flani kwani nikweli, mtoto wa mama bosco kaoa mwanae mzee athumani yasini, ila si kweli kuwa mzee hana maana kiasi hicho, na siamini kama mwanae kakujibu hivo. Nikweli mzee ni mjanja janja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.