Recent content by filbath

  1. filbath

    Shamba La miti pamoja na ardhi vinauzwa

    Shamba la Miti lenye ukubwa Wa ekari tano pamoja na ardhi vinauzwa kwa pamoja ,shamba linapatikana iringa mufindi,(luhunga) aina ya Miti ni misindano(paina)umri ni miaka mitano being ni million 6.5,,kwa maongezi zaidi 0714035105/0769725265,kalibu
  2. filbath

    Shamba na miti vimauzwa

    Picha unazo zihitaji hizi apaa
  3. filbath

    Shamba na miti vimauzwa

    Hii ni yakuchana mbao,picha za ya kufuga naleta
  4. filbath

    Shamba na miti vimauzwa

    Na yakuchana mbao ekali mbili bei milio 2.5
  5. filbath

    Shamba na miti vimauzwa

    Miti inayo uzwa pamoja na shamba ina umri wa miaka minne,ekar mbili ,bei ni 2.milion maongezi yapo,ipo mufindi luhunga.
  6. filbath

    Shamba na miti vimauzwa

    Asante kwa ushauri mzuri.
  7. filbath

    Shamba na miti vimauzwa

    Shambaa pamoja miti vinauzwaa ekar mbil ,iringa mufindi,0769725265/0714035105,
  8. filbath

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Tatizo la vifaranga kufaa la sababishwa na muingiliano wa vizazi{inbreeding} hivo akiwa makin atakuwa sawaa.
  9. filbath

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Poa usijar ndugu pamoja sna[emoji122][emoji122][emoji122]
  10. filbath

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Hongera sana mimi ni kijana ,mwenye future kubwa sana lakin sijaona kijana mwenye maono kama wew inshort umebalikiwa sana ,pia nina maoni kidogo japo unaruhusiwa kunikosoa 1: anza kwanza uzalishaji wa nguruwe then utajisajili badae ukisha fikisha target ya nguruwe uliyo panga,nafikir mwaka moja...
  11. filbath

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Unafikir mradi wako unawza kuanza na nguruwe wangap?
  12. filbath

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Nimekuelewa sana ukiwa saawa utanambia tufanye biashara mkuu
  13. filbath

    Ni ipi miti bora ya kilimo cha mbao?

    Samahani ntajibu kwa kifupi,kuna aina nyingi za miti ya mbao,lakin kwa kwa upande maeneo niliyopo mimi iringa(mufindi) paina (misindano) inafanya vizuri sanaa ndio maana hata selikal ina mashamba makubwa sna sao hill,pia kuna miti ya nguzo ambayo inauwezo wa kutoa mbao na nguzo pia.umri wa...
  14. filbath

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Nipo iringa lakin ,naamin mambo yataka vixur
  15. filbath

    Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

    Mimi ni mtaalamu wa mifugo ntakusaidia magonjwaa na tibaa
Back
Top Bottom