Hawa Rich Gang sio drug dealers maana hela zao mi hata sijui wanazitoa wapi tunaona tu kwenye mitandao. Navyosugua gaga mie ndo nikazitupe tu hela maweeeeeeee
Wajanja washatengeneza zengwe UKUTA chaliiii jumamosi, jamani tukafanye kazi hawa watu wa wasiasa wanalo wanalolijua sio kwa kutupoteza huku maboya...master of spinning at work
Watu wameelewa mkuu ila wameamua kuhamishia stress zao kwenye huu uzi. Hakuna anaewapenda majambazi hata wao kwa wao hawapendani ndo maana kamanda kasema waliuana wenyewe[emoji1] [emoji1] . Tunachotegemea kutoka jeshi la polisi ni kuwakatamata na kuwafikisha kwenyw vyombo vya maamuzi watuhumiwa...
Usitumie nguvu sana mkuu, afu vitisho vishapitwa na wakati. Leo shangilia wauwe kesho litakukuta wewe au mtu wako wa karibu atachapwa risasi kwa mambo mengine akapewa ujambazi.
Tulishapata uzoefu wa haya matukio huko nyuma ambapo watu wasio na hatia waliuawa kwa kuitwa majambazi na zikaja hadithi za kurushiana risasi. Bahati njema eneo lilipotajwa tukio wananchi walikuja kukanusha na baadae sote tunajua kilichoendelea hadi Kamanda Zombe akiingia matatani. Sasa huko...
Kazi ya kuhukumu ni ya mahakama, na polisi waendelee kuwasaka watuhumiwa na kisha wawafikishe mahakamani. Ikifika polisi wanaua wenyewe majambazi ipo siku wataua watu wasio na hatia kama ilivyotokea huko nyuma....bahati nzuri watu walijitokeza kusema ukweli sasa hii ya msituni hatuna mtu wa...
Hapa hakuna anaetetea majambazi, lakini hatuwezi kuruhu polisi waue watu bila kuwafikisha mahakamani sasa nyie mnaounga mkono mtuambie tufute mahakama na tufute katiba. Kila mhalifu ahukumiwe kwa kufuata sheria sio assasination ambayo huko nyuma tumegundua sio matukio yote ni kweli yametokea...
Hii nchi naona mmechoka kuongozwa na katiba wala sheria....basi tuendelee na uendeshaji wa matamko. Akipataikana mtuhumiwa hata kama hajathibitika ni jambazi muulie mbali [emoji1] [emoji1]
Wewe ndo umeleta siasa, kwanza hadi wanafika kuwapiga risasi wenzao tena usiku wa manane walikuwa wamejuaje wenzao wamekuja na polisi? Je polisi waliendaje sehemu bila kuhakikisha kuna tahadhali maana hata usalama wao hawakuuzingatia. Onyesha iliposiasa hapo mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.