Atachukua Zarina.Zikitolewa nani anachukua pesa?
Alishajibu hoja kwamba alizuiwa na wanasheria wake kwa kuwa anatambua kufanya hivyo ni kosaPAPAA JACK PEMBA ATAKOSA KWELI KWENYE HAO MAPEDESHEE???
Alitoka kwa dhamanaHuyo si kunatetesi yuko lupango.
Wanatafuta kiki? Kama na wewe unahisi pesa uliyonayo ni mali yako, chukua hata sh 1000 tu ichane hadharani uonekane.... Halafu uone ukienda mahakamani shitaka utaloandikiwa.Wanatafuta kiki ,hao ndio wale wana mavyeti mengi hila hana pesa matokeo yake anakuwa na hasira na mafanikio ya watu,kimoyokimoyo anajiona mpumbavu,akitafuta return on investment ratio
Indeed!Niliandika kuwa this is a criminal offence!
Nahisi una upungufu wa akiliWanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?
Nenda mbele ya kituo cha polisi afu kachome moto pesa ndo utajua kama hiyo pesa ni ya kwako au ya naniYaani hao wanasheria wameona hasara ya kupoteza/kuzika pesa kuliko roho ya ivan?
Basi wamvue na suti aliyozikwa nayo na vidani vyote vya dhahabu.
Wakatengeze za kwao halafu wakazizike pamoja na maiti wao. hizo ni mali ya serikaliWanasheria wa Uganda wakatafute kazi nyingine hela ya mtu kaitunza na maiti wake wewe wawashiwa nini?
Haya mambo yapo kisheria sio suala la umaskiniUmasikini mbaya.
Bhado tumefungwa na minyororo ya sheria
Uganda kitu vitu vingi vya kudeal navyo , waende kusaidia wanyonge ambao hawamudu kulipa mawakili au wakamsaidie bisegye anaonewa na M7Wanatafuta kiki? Kama na wewe unahisi pesa uliyonayo ni mali yako, chukua hata sh 1000 tu ichane hadharani uonekane.... Halafu uone ukienda mahakamani shitaka utaloandikiwa.
mali ya sirikali kivipi ? Kwani wao si wamezipata baada ya kusacrife somethingWakatengeze za kwao halafu wakazizike pamoja na maiti wao. hizo ni mali ya serikali
What matters is cash payout.Nenda mbele ya kituo cha polisi afu kachome moto pesa ndo utajua kama hiyo pesa ni ya kwako au ya nani