Recent content by FikraHuru255

  1. FikraHuru255

    Kwanini Serikali ya Iran ilikuwa na malengo ya kulifuta taifa la Israel?

    Naomba source ikithibitisha Iran kusema hivyo
  2. FikraHuru255

    Kuoga ni dk15-20, Nyie mnaotumia dk1,2,3 kuoga, unaoga! Sasa unaoga nini?

    Kuna wa utasikia makopo mawili tu pwaa pwaa huyo kashatoka
  3. FikraHuru255

    Mwanaume paka mafuta sehemu za siri, Usione aibu, Ni muhimu

    Kiukweli mi Huwa napakaa mafuta nikashavaa nguo zote Tena napakaa zile sehemu zinazoonekana kama uso na viganja vya mkono basi
  4. FikraHuru255

    Solar system ina sayari nne tu kuanzia leo ni vizuri ukalijua hilo

    Nisaidie source ya material unapotoa hizi taarifa
  5. FikraHuru255

    UTABIRI-TOPSECRET

    I can't wait to prove you wrong
  6. FikraHuru255

    Zijue faida za kuoga mwili mzima kiafya

    Umenikumbusha mbali ila Iringa msimu wa baradi mbona bado
Back
Top Bottom