Mwanakijiji nadhani ndo usajili mpya wa Lumumba. Jamaa walianza na ukabila, wakaja ukanda sasa wanasema udini lakini wananchi tumeshaamua na haturudi nyumba. Lowassa hadi Ikulu
Mwanakijiji tunakuheshimu lakini binadamu lazima uwe tayari kukubali mabadiliko kwa maendeleo ya maisha yako kwa ujumla. Lowassa ni catalyst wa hayo mabadiliko tunayotaka.
Issue siyo yeye kama mtu kusupport upande mmoja. Issue ni kutumia media inasikilizwa na watu wote kusupport upande wake na kukandamiza upande mwingine. Wakati wa kampeni bado lakini chombo chake kimeshaanza kampeni. Je, hiyo ni haki?
Mnyika hata siku moja hawezi kushinda uchaguzi. Hapa Ubungo hakina maji miaka yote. Barabara zote ni mbaya mfano barabara ya kwenda Kibangu. Mnaotaka kujifurahisha mjifurahishe na topic zenu mitandaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.