Habari wadau.
Nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha kuchakata taka mbalimbali kwa ajili ya kuzalisha bidhaa mbalimbali(recycling)
Ninaomba kwa mwenye ufahamu wa kutosha kuhusu wazo hili anisaidie orodha ya baadhi ya bidhaa zinazoweza kuzalishwa kutokana na taka(recycling)kwa gharama ndogo...
Habari ndg zangu.
Ninaomba tiba ya fangasi kwenye nyumba ambayo tayari imeathirika na fangasi ya ukutani.
-rangi na tofali vinapukutika kutokana na unyevu wa maji.
Ahsanteni.
Ni kweli kabisa,lengo la benki ni kumuendeleza mteja sio kumfilisi,ukienda benki utaeleza malengo ya mkopo(biashara) na kiasi cha mkopo unachohitaji,
Benki itakuja kutembelea biashara na dhamana yako ili kuona kama inaendana na kiasi cha mkopo unaoomba.
Kisha utapewa ushauri kulingana na hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.