Recent content by fidelity

  1. fidelity

    TANESCO Mwanza mnachosha

    Tabia hii mbaya imekua kama mazoea sasa. Mitaa ya MALIMBE na maeneo yote ya chuo kikuu cha SAUT hukatiwa umeme kila siku kuanzia asubuhi sana mpaka jioni ya saa 12 bila taarifa yoyote. Tunashindwa kuelewa shida ni nini? kuna mgao?, kuna matengenezo?, ama ni interest tu za watu wachache...
  2. fidelity

    Mwigulu Nchemba ni kiboko ya chadema; afanya kufuru Songea.

    Chedema inatunyima usingizi
  3. fidelity

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    nimechelewa kupiga kura msomi DR. SLAA NI JEMBE
  4. fidelity

    CHADEMA yaweka msimamo mzito-CCM waingiwa hofu juu ya MC4 PAMOJA DAIMA

    mbona hueleweki ama ndo elimu ya shule za kayumbwa imekuvuruga. pole kwa kuvurugwa gamba
  5. fidelity

    Adam Malima & Kighoma Malima Ministry of Finance: LIKE FATHER LIKE SON?

    hii nchi ni ya kurithishana ingekua chadema ungesikia wizara ya baba na mwana
  6. fidelity

    Mkaguzi mkuu elimu kanda ya kati azuia matokeo ya kidato cha pili

    hatuongei na mbwa tunamtaka mfugaji
  7. fidelity

    Mkaguzi mkuu elimu kanda ya kati azuia matokeo ya kidato cha pili

    ni muhusika nn mkuu?? achieni matokeo acheni ujinga huu ulimwengu mwingine bwana mambo ya kidiktekta hayapo hiyo mia tano kwa kila mwanafunzi inahusu shule na si mwanafunzi.
  8. fidelity

    Mkaguzi mkuu elimu kanda ya kati azuia matokeo ya kidato cha pili

    ni muhusika nn mkuu?? achieni matokeo acheni ujinga huu ulimwengu mwingine bwana mambo ya kidiktekta hayapo
  9. fidelity

    Mkaguzi mkuu elimu kanda ya kati azuia matokeo ya kidato cha pili

    hakuna hiyo sheria wakaguzi wanatakiwa wapate fungu toka serikalin na si kwa kuzuia matokeo ya wanafunzi. shule zenyewe za kita zipo hoi bin taabani bado wanazinyonya kila kona, wanafunzi hawalip ada, serikali haipeleki fungu kwa kila mtoto km ilivyoahidi, unadhani huyu mkuu wa shule atalipa nn...
  10. fidelity

    Mkaguzi mkuu elimu kanda ya kati azuia matokeo ya kidato cha pili

    Wanafunzi na walimu kanda ya kati wamebaki katika hali ya sintofahamu baada ya mkaguzi mkuu kuzuia matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha pili eti kwa madai kwamba wakuu wa shule hawajalipa hela ya ukaguzi. Wanafunzi wanahoji juu ya ada wanayochangia katika mtihani huo una uhusiano gani na...
  11. fidelity

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    nimeamin members wa jamii forum ni funika...mpaka sasa great thinkers laki moja elfu thelethin na tatu na zaidi tumepitia thread hii wengi tukiwa hatuna matumaini na serikali ya sisiem KIUFUPI TUMEKATA TAMAA KM RAIS WETU ALIVYOKATA TAMAA ANAUSUBIRI 2015 IFIKE HARAKA AKAFIE MBELE.
  12. fidelity

    Afande Sele: Nitapambana na Abood

    mbona MASISIE YAMURUHUSU UNGA HADHARANI UNGA NA GANJA IPI NI AIBU NA HATARI KWA TAIFA????
  13. fidelity

    Prof Baregu: Siungi Mkono Maamuzi juu ya Zitto ila "SULUHU" ni njema

    ila masisiemu ni ya hovyo zaidiii sisi n bad nyie ni worse and the worst in the world.
  14. fidelity

    CCM kabla hamjahoji ya Zitto, tuambieni nini kilimpata Kolimba

    ccm shame on you na yeyote anaeshabikia CCM yupo ki maslahi zaidi na hakuna dhambi mbaya kama unafiki.
Back
Top Bottom