Mazuri na mabaya ya Zitto wanayajua kamati kuu,CHADEMA sasa nyie chama cha majangili(ccm) mnamtetea kwa sababu gani?
Kuna mchungaji mmoja aliniambia,nikitaka kujua tabia yako nioneshe rafiki yako,hapo nitajua kila kitu. Kwa hiyo urafiki wa zitto na Mwigulu au ccm kwa ujumla inareflect tabia ya Zitto.Hili halina mpinzani.Zitto katumwa na ccm kuharibu CHADEMA.Hujawahi kujiuliza swali hili,kwa nini Mwigulu Nchemba hajawahi kumsema vibaya Zitto kabwe?
Take it into account.
Jibu swali, mlimfanya nini Kolimba? Hiyo demokrasia mnayoitaka CDM kwa kuwa pandikizi lenu Zitto ameondolewa kwenye safu ya uongozi, mbona haitumiki CCM? Afadhali CDM imemvua Zitto uongozi lakini nyie mlimuua Kolimba kwa sumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.