Recent content by fidel mgaya

  1. F

    Heche atangaza nia ya kugombea udiwani Nyegezi

    muache wivu za ajabu hao wadogo sake na Heche hawakai Tarime dharau na wewe wapi na wapi...na wewe kama mdau unaemtakia Heche awe Mbunge ulishaa kaa nao ukawaonya au umbeabea tu
  2. F

    Heche atangaza nia ya kugombea udiwani Nyegezi

    mkuu Kwa mfano ukiulizwa walishawahi kukufanyia dharau ipi unaweza kutuambia....
  3. F

    Heche atangaza nia ya kugombea udiwani Nyegezi

    Mdogo wa aliewahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana taifa CHADEMA Mh. John Heche, Enock Heche ametangaza kugombea Udiwani kata ya Nyegezi Kwa tiketi ya CHADEMA. Akizungumza na wananchi wa Mwanza mdogo huyo wa Heche amesema hayupo CHADEMA Kwa kuwa kaka yake yupo CHADEMA ila yupo CHADEMA kupigania haki...
  4. F

    Nguvu kubwa yatumika kumfanya Zakayo Chacha Wangwe asiwe kiongozi wa CHADEMA Tarime

    Kwa hyo Watu walilalamika kwako walikua watatu sio
  5. F

    Nguvu kubwa yatumika kumfanya Zakayo Chacha Wangwe asiwe kiongozi wa CHADEMA Tarime

    Wamelalamikia wapi we Pimbi wakati Tarime saahizi kuna hata redio mbona hatujasikia au wamelalamkkia kwa Mama Sollo
  6. F

    CCM wavamia uchaguzi chuo kikuu SAUT

    Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu Agustino cha Mwanza na nasoma shahada ya ualimu mwaka wa pili... Leo tarehe 5/04/2013 ndio tarehe tulitakiwa kufanya uchaguzi kwa maana ya wabunge, na pia Urais cha kusikitisha ni kwamba Majina yaliyopitishwa na Senate ya wagombea wawili ambao...
  7. F

    Vurugu zatawala CHADEMA Tarime

    hawa watu wanasumbua sana mimi ni mkazi wa TARIME nasikia kuna makundi yaliyogawanyika MOJA linaongozwa na MWENYEKITI WILAYA Anaejiita NGOTO na WENZAKE ambao wanatumiwa na mchungaji Maswi mdogo wake na Tajiri mmoja kwa jin GACHUMA ili wakivuruge CHADEMA ili kikose nguvu ili huyo tajiri agombee...
  8. F

    Nukuu ya Heche John

    Bado shibuda .................
  9. F

    Shujaa wako mwaka 2012

    JOHN HECHE kwani ameonekana sehemu mbalimbali akitoa elimu kwa watanzania kuhusu ANALOGIA I mean CCM....
Back
Top Bottom