Sasa mbona hawajajibu hoja wanaleta majungu. Huko CCM nasikia kwenye katiba yao kuna kipengele linasema kuwa Zidumu Fikra Za Mwenyekiti wa chama. So huko kwao ni kosa kumkosoa mwenyekiti, aibu sana. Yaani wao wenyewe chama chao kina shida ya katiba. Vijana wa CCM wajitafakari hawana hoja, ni...
Mmmh Derby ni jambo muhimu kwa nchi kweli? Una uhakika na unachokisema? Timu zenyewe toka zimeanza hazina viwanja vyao vya kujitegemea wanategemea kwa Mkapa, kwa nini wasiulizwe ya kuwa ni sababu zipi zimewafanya wasiwe na viwanja mpaka leo? Kazi kujadili derby ambayo wataicheza kwenye uwanja wa...
Nashauri bajeti ya Wizara ya Ulinzi iongezwe kwa kiasi kikubwa sana, ili kuliwezesha jeshi letu kwenda na kasi ya maendeleo ya kijeshi duniani. Pia vigezo vya kujiunga na jeshi viangaliwe. Yaani muda wa mazoezi ya ukakamavu upunguzwe kidogo, kisha jeshi likazane katika kuajiri watu watakaoleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.