Ndugu zangu wana jf issue ya dowans kulipwa imekaaje?Tafadhalini sana kila mmoja wetu aingie msituni kutafuta data.ukweli unabaki palepale kuwa wameshalipwa ndio maana kamati kuu ya ccm imetofautiana na maoni ya wabunge wa ccm wenzao kuwa wawekwe wanasheria watakao chambua mchakato mzima wa kesi...
Habari nilizozipata usiku wa jana ambazo ni za kweli ni kwamba dowans wameshalipwa,kwa ufupi watanzania tumeshapigwa changa la macho.na nyie wadau fuatilieni mpate taarifa zaidi,Ila kwa upande wangu taarifa hizi nimezipata kupitia mtu wa karibu sana na mmoaja ya wakurugenzi ndani ya shirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.