Ni mwendo wa kupiga tu hapo!Maana mwanzoni TRA ajira zilikuwa zinatoka Tume ya Ajira baadae wakaomba kusimamia michakato wenyewe sasa hivi Wanawatumia consultant wasimamie mchakato mzima na wanalipa hela ndefu tu hapo ni maswala ya matumizi tu ya hela tutakula wapi
Kwahiyo Umeshindwa kujiongeza kwa vitu vidogo vidogo?Sasa unavyokomaa na wewe utakuwa unahusika kwenye Utapeli huu!Acheni utapeli wa kirahisi sana huu tumieni hizo akili kwenye biashara na kilimo mtatoboa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.