Recent content by feyzal

  1. feyzal

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Hii foleni ilikua huo muda
  2. feyzal

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Nadhani ile ishu ya kanisa la gwajima imeleta soo.
  3. feyzal

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Kuna nyingine iko pale Sokoni kama unaenda tazara upande wa kulia...yaan vitu vya ajabu
  4. feyzal

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Paragraph ya mwisho uongo mtupu,,shida anayo yeye .
  5. feyzal

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Nilikua na msikiliza Dr Mwinyi kuna clip alikua anazungumzia ishu hizi hizi miundo mbinu holela na biashara holela dah Sijui why yule mshikaji hajakua rais wa huku malawi.
  6. feyzal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Roho inamuuma? Labda kama sio CCM oya hawa watu hawana aibu aiseee na mtu aliyepoteza aibu hana maumivu na anaweza fanya chochot kwa yeyote wakati wowote.
  7. feyzal

    JamiiForums Tanzania John Heche Anaweza: Kikwazo Chake ni Lissu

    Chomoa kama inauma
  8. feyzal

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Kama nchi tumepatikana,halafu mshikaji amekua na utajiri wa mkubwa zaidi tangu Mzee wa Chato amesepa.
  9. feyzal

    JamiiForums Tanzania John Heche Anaweza: Kikwazo Chake ni Lissu

    Toka lini mboga mboga mkawa na mahaba kama haya na Chadema😂
  10. feyzal

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Ni kweli tunataka maendeleo ila kiukweli naona kabisa Yard ile kua pale jeshini sio sehemu sahihi. Kwa mtazamo wangu ilibidi isogezwe huko nje ya miji kuliko pale. Mfano usiku huu malori yamefunga njia moja(yamepaki barabrani) magari yanapita kwa shida kutoka Sabasaba hadi Zakhem. Mamlaka...
  11. feyzal

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Kijana wangu sitamruhusu asome afya halafu afanye kazi bongo. Ni stress sana
  12. feyzal

    JamiiForums Tanzania Kazi aliyotumwa Msigwa kwenda kuifanya CCM ameifanikisha?

    Basi wewe ndo wa kuhurumiwa pamoja na chadema kwa kushangilia kurudi huyo mtu...ktu aliyetakasa uchaguzi na mauwaji ya october 29.
  13. feyzal

    JamiiForums Tanzania Yericko aelewe Adui wa CHADEMA ni adui wa MBOWE. CHADEMA ni moja ya Legacy ya Mbowe na sidhani mbowe ni Mjinga kiasi atake ife

    Chadema ya Mbowe kuna ujanja ujanja mwingi sana ,hata ile ishu ya akina Halima yule Mzee anajua ninikilitokea sema ni wale wamama wametunza heshima yake ndogo iliyobakia.
Back
Top Bottom