Khalifa yule anafanya kwanza utafiti kabla ya kukuhoji,mwingine ni yule Charles wa Wasafi yuko poa. Odemba ni kupayuka na kudandia kabla mtu hajamaliza but kutokana na sauti yake akiboresha vitu vichache tu hatoshikika.
Ni vyema mkaoana kwasababu tabia zenu zinafanana hasa uasherati na uduwanzi ila jiandae kumvumilia siku atakapolala na mwanaume mwingine ambaye ni rafiki yake na nakuhakikishia hawatafanya chochote kama kwako.
Mimba sio jambo la bahati mbaya kijana,mchukue bint uishi nae tena maliza kabisa na taratibu zingine muishi kihalali.
NB:Nikukumbushe tu hao wazazi mpaka hapo wamekufanyia ustaarabu mno kukupunguzia gharama za harusi na sherehe ila ukileta uhuni kitakulamba.
OVA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.