Recent content by feyzal

  1. feyzal

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe muda unaopoteza Kumnanga Mchezaji Chama ungeutumia kujifunza Kiingereza kinachokusumbua mno ingesaidia

    Ali kawa chawa,anatetea ugali wake kwa boss wake.
  2. feyzal

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Kitamboo sana huyu mzee hakuonekana hadharani...je baada ya hapo Rais anaruhusiwa kuongoza bila mume? Au atatakiwa atafute mume?
  3. feyzal

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mchengerwa kuwa waziri mkuu

    Japo hii ni habari mbaya ila itakua super pia ili yule Madelu ajifunze ubaya wa usaliti kwa home boi wake na watanzania kwa ujumla.
  4. feyzal

    JamiiForums Tanzania My 6 Dream Sedans kutoka Japan, USA na China!

    PureView zeiss unaitwa😁
  5. feyzal

    JamiiForums Tanzania The coming First Lady. Watanganyika, Mungu amesikia kilio chenu

    Sahihi
  6. feyzal

    JamiiForums Tanzania The coming First Lady. Watanganyika, Mungu amesikia kilio chenu

    Kheri Rais awe MC Mboneke kuliko Mch Gwajima.
  7. feyzal

    JamiiForums Tanzania Odemba hayuko analytical kama Khalifa wa The Chanzo

    Khalifa yule anafanya kwanza utafiti kabla ya kukuhoji,mwingine ni yule Charles wa Wasafi yuko poa. Odemba ni kupayuka na kudandia kabla mtu hajamaliza but kutokana na sauti yake akiboresha vitu vichache tu hatoshikika.
  8. feyzal

    JamiiForums Tanzania Range Rover EV imekuja officially. Imekuja na range ya 600 km kwa full charge!

    Ukiweka na kodi ya Mama inakuja ngapi hapo😁😁
  9. feyzal

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Ni vyema mkaoana kwasababu tabia zenu zinafanana hasa uasherati na uduwanzi ila jiandae kumvumilia siku atakapolala na mwanaume mwingine ambaye ni rafiki yake na nakuhakikishia hawatafanya chochote kama kwako.
  10. feyzal

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Mbon haina sauti
  11. feyzal

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    Mimba sio jambo la bahati mbaya kijana,mchukue bint uishi nae tena maliza kabisa na taratibu zingine muishi kihalali. NB:Nikukumbushe tu hao wazazi mpaka hapo wamekufanyia ustaarabu mno kukupunguzia gharama za harusi na sherehe ila ukileta uhuni kitakulamba. OVA
  12. feyzal

    JamiiForums Tanzania Nimeshtukaa! Kumbe wanawake wa Tarime wana Mikia namna hii!.

    Leo ndo nimejua kua wewe ni "ME".
Back
Top Bottom