Recent content by feyzal

  1. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mwanri: Rais Samia songa mbele usiwe na wasiwasi, Watanzania nchi nzima wako nyuma yako

    Lini aliwahi kua mtu wa maana zaidi ya maigizo na vichekesho.
  2. feyzal

    JamiiForums Tanzania Si mnajimwambafy kuwa hii nchi ni ya kwenu. Fanyeni madhara yoyote kwa John Heche au Tundu Lissu halafu muone kitavyonuka

    Maslahi gani wakati haya yote utekaji,ufiraji,kuminya uhuru wa vyombo vya habari na ubabe aliuanzisha yeye ...huyu wa sasa amekoleza tu moto.
  3. feyzal

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini ikifika uchaguzi mkuu, kura zisipigwe kwa njia ya mtandao na kila mmoja akaona trend ya kura kwa kila mgombea

    Kwa nchi yetu jinsi ilivyo na udanganyifu mara wanazima mtandao,haiwezekani labda itokee miujiza
  4. feyzal

    JamiiForums Tanzania Sio mzuri, Hana shepu nzuri bado hata mapenzi kitandani hajui, huyu unafanyaje?

    Mwanamke anakua mzuri kabla hujampata ,ukimlala 50% ya uzuri wake unapungua kwenye macho yako ila anakua mbaya zaidi kama sio mtamu kitandani.
  5. feyzal

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Huyo namba mbili hana Legitimacy ya kua msafi kwasababu amekua mkweli baada ya kua nje ya tonge. Mpaka sasa Mzee Wariobaa pekee ndo aliyesimama pale pale tangu rasimu ya katiba mpya mpaka sasa. M/Mungu abariki kizazi chake.
  6. feyzal

    JamiiForums Tanzania KERO MACHAS nipeni cheti changu cha CLINICAL MEDICINE, mnanikosesha fursa za ajira, mtaani kugumu

    Pole...kuna jamaa alikua na shida kama yako ,alihangaika kwa miaka miwili ila baadae alifika hadi dodoma wizarani wakamsaidia. Nipo kwenye bus jioni nitampigia kumuuliza alipita wapi na wapi then nitakupa jibu
  7. feyzal

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Safi sana ,huu ndo uungwana na adabu njema.
  8. feyzal

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu ina watu duni mpaka wanagombania bagia za bure?!

    Hapo Zaidi ya 90% ni uroho ndo uliowapeleka Tanzania hatujafikia njaa ya namna hiyo.
  9. feyzal

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Huku viongozi wamelala wanawaza kodi
  10. feyzal

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Hii ni habari njema sana,,Rwanda wamejitambua wameokoa kizazi chao.
  11. feyzal

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Hizi calculation huwa rahisi sana kwenye karatasi mkuu.
  12. feyzal

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Ulifanya usenge kumpoteza stara mwanaume mwenzio kwa usenge wa mke wako. Hivyo ondoa uduwanzi wako
  13. feyzal

    JamiiForums Tanzania Emmanuel Okwi astaafu soka la kulipwa

    Aisee😁
  14. feyzal

    JamiiForums Tanzania kitendo cha polisi watupa mzigo wa chakula Cha raia kwenye mtaro wa maji machafu sio cha kiungwana.

    Salaam. Wakuu hii video mpaka imenifanya nitafakari sana akili za hawa mapolisi kama ni wazima kichwani au vipi. Inasemakana huyo kijana aliingilia msafari wa Mwenge kwa kukatiza akiwa amebeba mzigo wa maguni ya maharage sasa polisi wakamkamata sasa badala ya kufuata sheria jambo la kwanza wao...
Back
Top Bottom