Nilikua na msikiliza Dr Mwinyi kuna clip alikua anazungumzia ishu hizi hizi miundo mbinu holela na biashara holela dah Sijui why yule mshikaji hajakua rais wa huku malawi.
Roho inamuuma? Labda kama sio CCM oya hawa watu hawana aibu aiseee na mtu aliyepoteza aibu hana maumivu na anaweza fanya chochot kwa yeyote wakati wowote.
Ni kweli tunataka maendeleo ila kiukweli naona kabisa Yard ile kua pale jeshini sio sehemu sahihi. Kwa mtazamo wangu ilibidi isogezwe huko nje ya miji kuliko pale.
Mfano usiku huu malori yamefunga njia moja(yamepaki barabrani) magari yanapita kwa shida kutoka Sabasaba hadi Zakhem.
Mamlaka...
Chadema ya Mbowe kuna ujanja ujanja mwingi sana ,hata ile ishu ya akina Halima yule Mzee anajua ninikilitokea sema ni wale wamama wametunza heshima yake ndogo iliyobakia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.