Mbagala Rangi 3
Uwanja wa Natal uliomtoa staa mkubwa wa Nchi Mbwana Samatta kiliuzwa kikatengenezwa kiwanda cha rasta,,,viwanja vyote mbagala vimetengenezwa either soko au kiwanda..ni kweli tunataka maendeleo lakini leo watoto hawana pa kucheza hakuna kiwanja kilichosalia
Usinilishe maneno mzee, chuo sio majengo pekee kama hiko kingikua chuo kizuri na hospital unayosema ina faida kwa wanafunzi wasingeenda mafunzo wiki mbili tena kwa taabu na kusingekua na hiyo miyeyusho.
Walimu wanakaa masaa zaidi ya 10 ili kumtoa mtoto wako ujinga,mbaya zaidi mishahara yao mbuzi na wanadharaulika kishenzi mkuu hata na mwenyekiti wa kijiji...500 si hela kubwa kihivyo ukizingatia upo mjini wabless walimu tu ili na wao wajipatie rizki hawana muda wa kufanya biashara nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.