Recent content by feyzal

  1. feyzal

    Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

    Mbona mimi sioni picha wakuu
  2. feyzal

    Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

    Pale jeshini Mbagala GSM kapachukua kaweka Yard yake kumbuka lile ni eneo nyeti la jeshi
  3. feyzal

    Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

    Mbagala Rangi 3 Uwanja wa Natal uliomtoa staa mkubwa wa Nchi Mbwana Samatta kiliuzwa kikatengenezwa kiwanda cha rasta,,,viwanja vyote mbagala vimetengenezwa either soko au kiwanda..ni kweli tunataka maendeleo lakini leo watoto hawana pa kucheza hakuna kiwanja kilichosalia
  4. feyzal

    Orodha ya Waamuzi wa Afrika watakaochezesha mechi za FIFA World Cup 2026

    Arajiga na Kayoko hawajachaguliwa?
  5. feyzal

    Kumbe Chawa nao hufa bana!

    Kwa namna hii huwezi kuzuia raia wasifurahi.....wanasema anayecheka mwisho ndo hucheka sana.
  6. feyzal

    Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

    Alianza Nyekiti wao "kifo ni kifo tu" na Sisi tunamalizia kwa kusema vifo vyao ni sherehe. #29October25
  7. feyzal

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Mkuu ukiona biashara inaongezeka jua inalipa watu si wajinga
  8. feyzal

    KERO Wanachuo wa Mwaka wa Kwanza (RADIOLOGY) Chuo cha Nkinga wamekuwa wakilipishwa pesa ambazo washalipa

    Usinilishe maneno mzee, chuo sio majengo pekee kama hiko kingikua chuo kizuri na hospital unayosema ina faida kwa wanafunzi wasingeenda mafunzo wiki mbili tena kwa taabu na kusingekua na hiyo miyeyusho.
  9. feyzal

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Aliyekufa leo ni miongoni mwa washenzi hivyo TUNASHUKURU MUNGU HATA KWA HIKI KIDOGO
  10. feyzal

    KERO Shule ya msingi Ungindoni, Kigamboni michango ni mingi, inatuumiza wazazi na walezi

    Walimu wanakaa masaa zaidi ya 10 ili kumtoa mtoto wako ujinga,mbaya zaidi mishahara yao mbuzi na wanadharaulika kishenzi mkuu hata na mwenyekiti wa kijiji...500 si hela kubwa kihivyo ukizingatia upo mjini wabless walimu tu ili na wao wajipatie rizki hawana muda wa kufanya biashara nyingine...
  11. feyzal

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Sio kwa Nyumba za wageni,,aise wanapiga peza we jiulize show time elffu 10 na lodge ina vyumba 30+
  12. feyzal

    DOKEZO Huyu anayejiita "Russia wa Bongo" anafanya udhalilishaji kupitia mtandaoni. Mamlaka mchukulie hatua

    Nitafuatilia. Ila nikuombe Mama yule Anko T ashughulikiwe ila hakikisha mnapeleka wanasheria wazuri sio akina Katuga😁
Back
Top Bottom