Recent content by feyzal

  1. feyzal

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Aaah nakuelewa kaka ,,,ila Mzee katarama anajaribu jaribu
  2. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mliongalia Tamasha la Simba day je,leo simu ilipigwa?

    Sijaelewa
  3. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mliongalia Tamasha la Simba day je,leo simu ilipigwa?

    Ngoja tuone leo kwa 🐸
  4. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mliongalia Tamasha la Simba day je,leo simu ilipigwa?

    Dah
  5. feyzal

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Kama alikua anaendesha TITO ndo alivyo ndo dereva aoiyekua anaongoza kwa ajali katika hiyo kampuni.
  6. feyzal

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Mwaka juzi alipata zaidi ya 200M alipigaga dili oya mzee alipewa sana ushauri akawa hataki miezi 3 pesa ikakata yote akalazwa hospital kwa dipression alipoamka akapiga pesa zingine kama 170M jeuri ikaanza tena mpaka sasa ...Mzee wangu ni wale wazee wazamani hawajasoma,wabishi ila wametusua...
  7. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mliongalia Tamasha la Simba day je,leo simu ilipigwa?

    Aah aisee
  8. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mliongalia Tamasha la Simba day je,leo simu ilipigwa?

    Salaam wakuu Kama heading inavyojieleza ,vipi leo bi mkubwa alipiga simu kwemye tamasha? Usiku mwema
  9. feyzal

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Huyo ni kama dingi yangu ,,,hataki kabisa shobo aisee tumeamua kujipanga wenyewe
  10. feyzal

    JamiiForums Tanzania Mwanri: Rais Samia songa mbele usiwe na wasiwasi, Watanzania nchi nzima wako nyuma yako

    Lini aliwahi kua mtu wa maana zaidi ya maigizo na vichekesho.
  11. feyzal

    JamiiForums Tanzania Si mnajimwambafy kuwa hii nchi ni ya kwenu. Fanyeni madhara yoyote kwa John Heche au Tundu Lissu halafu muone kitavyonuka

    Maslahi gani wakati haya yote utekaji,ufiraji,kuminya uhuru wa vyombo vya habari na ubabe aliuanzisha yeye ...huyu wa sasa amekoleza tu moto.
  12. feyzal

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini ikifika uchaguzi mkuu, kura zisipigwe kwa njia ya mtandao na kila mmoja akaona trend ya kura kwa kila mgombea

    Kwa nchi yetu jinsi ilivyo na udanganyifu mara wanazima mtandao,haiwezekani labda itokee miujiza
Back
Top Bottom