Huyo namba mbili hana Legitimacy ya kua msafi kwasababu amekua mkweli baada ya kua nje ya tonge.
Mpaka sasa Mzee Wariobaa pekee ndo aliyesimama pale pale tangu rasimu ya katiba mpya mpaka sasa. M/Mungu abariki kizazi chake.
Pole...kuna jamaa alikua na shida kama yako ,alihangaika kwa miaka miwili ila baadae alifika hadi dodoma wizarani wakamsaidia. Nipo kwenye bus jioni nitampigia kumuuliza alipita wapi na wapi then nitakupa jibu
Salaam.
Wakuu hii video mpaka imenifanya nitafakari sana akili za hawa mapolisi kama ni wazima kichwani au vipi. Inasemakana huyo kijana aliingilia msafari wa Mwenge kwa kukatiza akiwa amebeba mzigo wa maguni ya maharage sasa polisi wakamkamata sasa badala ya kufuata sheria jambo la kwanza wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.