Recent content by Fetty jr

  1. Fetty jr

    Naomba msaada kwa tatizo langu hili la ngozi

    Jamani habari zenu naombeni msaada kuhusu tatizo la ngozi (anajikuna Sana yanakua Kama mapunye then Kama Malibu meusi ya Moto) ambalo limedumu kwa zaidi ya miezi nane hospital mtu huyu kapima HIV zaidi ya Mara tano na inasoma negative akaambiwa Ni cells tu zinaleta reaction akapewa dermovate...
  2. Fetty jr

    Acne and darksports solution

    😂😂🤣 It is just an alert ... N nothing more so relax in Darassa's voice
  3. Fetty jr

    Acne and darksports solution

    Hapo kwenye facial cleaning bar soap ni aina gan nzuri kea sensitive skin? Maana Mimi uso wangu a bit ni oil skin though since saana
  4. Fetty jr

    Acne and darksports solution

    I need any au both maana ngozi inaharibika nikitumia dawa za allergy inarud kuwa sawa Sasa ni Bora unisaidie unavoweza
  5. Fetty jr

    Acne and darksports solution

    Hapo camera imenistiri
  6. Fetty jr

    Acne and darksports solution

    Dear nimejaribu mpaka matango lakini wapi
  7. Fetty jr

    Acne and darksports solution

    Habari zenu jaman mwenzenu Nina ngozi sensitive lakin chunusi zinazowasha na makovu meusi yameharibu uso wangu naombeni msaada nitumie nini ambacho sio kikali kwa ngozi yangu maana pia hutokewa na mabaka meupe Kama utangotango nmetumia dawa nyingi lakini bado
  8. Fetty jr

    Mild normochromic anaemia

    Sindano za pid
  9. Fetty jr

    Mild normochromic anaemia

    Less than a month pregnancy miscarried nkaenda Hosp wakanpga ultrasound wakaona imetoka ,wakasema hawawez kunipa sawa kwasab hakuna infection nkarud nyumban nimeblid cku zaid ya 25 nkakaa cku 5 tu nkaanza tena nkaenda hospital ikawa same thing wakasema huenda ni Normal period lakin ilikua...
  10. Fetty jr

    Mild normochromic anaemia

    Bleeding from pubic kama mwanamke ako period
  11. Fetty jr

    Ushauri juu ya hili.......MSAADA

    Samahani sijaelewa io tds na io bid
  12. Fetty jr

    Ushauri juu ya hili.......MSAADA

    Mimi. Niliharibikiwa na ujauzito nikaenda hospital wakanipa misoprostol nkatumia lakini nikaanza kubleed kwa siku 25 mfululizo nkabadilisha hospital wakanipga ultrasound wakanambia hakuna shida na hawawezi kunipa dawa kwasabu kizazi hakina tatizo wala maambukizi ikabid nirudi nmepumzka Siku tano...
  13. Fetty jr

    Mild normochromic anaemia

    But HB ni 11 wakati week mbili zilizopita ilikua 13.1
Back
Top Bottom