jamii forum idumu daima imenitangaza sana through jamii forum igot a chance to perform instollation services in uganda also igot alarge number of customers within my country Tz ,kazi iliyo bola itatung'arisha wadau tunao husika na instollation service.One love to you all
Kwa anae taka msaada wa kimawazo juu ya ufungaji wa madish nipo tayari kukupa elimu pia kama unahitaji huduma ya kufungiwa dishi la aina yoyote kulingana na mahitaji yako basi napatikana haswa kwa walio kanda ya ziwa mwanza,shytown msoma bukoba na nzega pia
Hapo ni simpo sana geuza dish lako lione magalibi basi hapo waweza kutegesha Amos5@17e au ses 5 kama unapenda fta za nje pia eutelsat@7e kuna chanels za bule ila receiver itabadilika tafuta Wiztech8010hd hapo ful makamuz
Nimefulaishwa na maelezo mazuri sana ya kiufundi ambayo yametolewa basi kama waitaji msaada wakiufundi pia ushauli wadau tupo nafunga setilite zaidi ya 20 ni mkongwe kwenye hii game
Nazani haijui Tanzania vizuri akizisha ukolofi tupeleke mashi laki mbili tunaifuta kabisa rwanda kwenye ramani ya afrika vijana tupo tayari kuvaa magwanda kutetea taifa letu
Kuna option nyengine pia cheki na mafundi wa mkoa wako lazima wanajua chocho zote za mji wako unaweza kuchongesha dish au uka chukua jipya shop niwewe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.