Recent content by ferucho lamborgini

  1. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya maswala ya overstay kwenye nchi nyingine, wenye uzoefu na haya maswala naombeni msaada

    unaweza kwenda bila visa kwa shughuli za utalii, biashara kwa 90 days only, ukizidisha hapo ni majanga
  2. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya maswala ya overstay kwenye nchi nyingine, wenye uzoefu na haya maswala naombeni msaada

    Habari za jioni Ni adhabu gani hupewa mtu aliye overstay kwenye nchi za mambele?
  3. ferucho lamborgini

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wamegeuza mahusiano kuwa ajira

    Nipe namba yake mkuu
  4. ferucho lamborgini

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sio wajibu wako kumbadilisha mwanamke

    uko vizuri mkuu mada zako ni za kikamanda
  5. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania WHATSAPP TEXTS: Huwa unachukulia vipi ile situation ya mtu anaku-blue tick alafu hajibu wala kureact chochote?

    Jaman tuwe makin Sana na vitu kama hivi , unaweza ukajikuta unaingia kwenye matatizo bila kutegemea na hii ndo shida ya sisi watanzania na inatuponza sana unakuta mtu yupo serious kabisa anasoma comment yangu badala aandike ya kwake.
  6. ferucho lamborgini

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

    Angalau nimefarijika kusikia bado una ubinadamu ndani yako kama hautaweza kuhubiri ukweli juu ya uwepo batili wa Mungu, mbingu, shetani na uchawi basi ni bora uachane kabisa na maswala ya dini na mahubiri Tafuta chanzo kingine cha pesa ambacho kitakidhi mahitaji yako na ada ya kijana wetu he...
  7. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

    Nashukuru sana kaka
  8. ferucho lamborgini

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

    Ni kweli wewe ni mtu muovu, una sifa mbaya kwenye jamii yaani haufai kabisa Wewe ni selfish sana unajali tumbo lako na huyo mtoto wako tu, lakini haujali watu wengine kabisa umefanikiwa kutoka katika kifungo/jela ya imani ambayo inawapotezea muda watu wengi, kuwarudisha nyuma kiichumi na...
  9. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

    Nashukuru sana mkuu, itabidi niongeze pesa nichukue 12 pm nilivutiwa nayo, japo kwa usawa wa uchumi inakua inavuruga bajeti nyingine. Hivi kwanini ulinipa option ya XR insted of Xs max? XR iko vizuri sana mkuu?
  10. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Mobile app & Website Designing Services

    Pm yangu inazingua kufunguka mkuu, weka hapa namba zako za ofisi nitakucheki
  11. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

    Hapa kwenye display na battery message sijakuelewa mkuu
  12. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

    Nina laki 7 na nusu, niliona mijadala 11 Pm haina display kali kama xs max, wanasema 11 kamshinda xs max kwenye camera tu mm napendelea simu iwe kubwa 6.5+ screen size, display na camera kali au niongeze ngapi kwenye bajeti yangu nichukue 12 pro max used?
  13. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

    Mkuu kati ya iphone 11 pro max na xs max nichukue ipi kwa uzoefu wako?
  14. ferucho lamborgini

    JamiiForums Tanzania Mobile app & Website Designing Services

    Nitumie namba zako PM
Back
Top Bottom