Recent content by fernandotorres

  1. F

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Wanajamii, Ni vyema kutambua kuwa ngozi nyeusi ina matatizo kuliko ngozi yoyote duniani.Afrika ndio bara lenye vikundi vingi vya waasi,ndio bara lenye migogoro mingi,ndio bara ambalo kila matokeo ya uchaguzi hupingwa nakadhalika. CCM ina bahati ilizaliwa kipindi kilichohitaji muungano wa wote...
  2. F

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    It is always nice to visit Jamii Forums and once in a while finding posts that use statisitics,references,common sense and most important the technical know how of exactly what one is posting about.Even though I am might be inclined towards the FirstLady views like many others who are not well...
  3. F

    Kamati za bunge zifutwe!

    Ukitafakari utaona ukweli wa hiyo statement ya huyo bwana.Tatizo sio mawaziri wala serikali,tatizo ni wananchi wanaokubali maazimio na hatua zinazochukuliwa na viongozi wetu.Pamoja na PM kuacha kuwajibisha mawaziri,wewe na mimi tunaendelea na maisha yetu ya kawaida na nina hakika baada ya wiki...
  4. F

    Tanzania: Oil firms formally protest over 'bad' petrol

    Hivi ni kwanini serikali za nchi jirani especially Rwanda ziko makini sana kwenye viwango vya ubora wa bidhaa wakati sisi ambao ni port of discharge ndio legelege kwenye kuregulate hili??Sidhani kama wale samaki wa Japan wangevuka mpaka kuingia Rwanda hata ile lami ya Kurasini ingeweza...
Back
Top Bottom