Ni kweli kabisa sema kama mwaka sasa mambo yamebadilika sana , kuna ofisi yao nilienda huduma zimekuwa imara sana hakuna majivuno tena kjna kaheshima flan hivi.. hakika Magufuli kapatia sana kumueka jamaa pale, nimependa uwazi kuhusu ulipaji wa vitu, mwendo ni kielektroniki.. kiukweli we are so...