Recent content by fernandesrodri

  1. F

    JamiiForums Tanzania Je, wanyama huwa wanaona aibu?

    SI riziki huyo
  2. F

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Msaada: Nimefikia hatua ya kunywa Pepsi 4 kwa siku, nifanyeje kuacha?

    Wasikudanganye. Jitahidi zifikie sita mpaka nane. Hao wanaokukataza hawalipi kodi hata shilingi moja. Wewe unaponunua soda kuna pesa nyingi unalipa in form of tax. Watoto wanatibiwa , barabara zimewekwa lami, madawa hospitalaini yanamwagwa. Lipa kodi kwa maendeleo ya taifa!!
  3. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nafikiria kuzaa mtoto wa nje, mke wangu anaharibu watoto kwa kigezo cha "upendo"

    Pole. Kwani mulioana au ulimuoa huyo mwanamke?
  4. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni Jumamosi nyingine, siku nyingine wanaume wapumbavu kwa gharama wanaoa wanawake waliotumika

    Ukweli mwingine huwa hausemwi!!!!
  5. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya dukani

    Omba mungu. Mungu ndio mtoaji.
  6. F

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Msaada: Nimefikia hatua ya kunywa Pepsi 4 kwa siku, nifanyeje kuacha?

    Wewe ni mzalendo halisi. Kila pepsi moja unayokunywa unachangia pesa nyingi katika mfuko wa taifa. Watoto wetu wanatibiwa. Barabara zinajengwa. Ukinywa sita itakuwa bora zaidi.
Back
Top Bottom