Sipingi jitihada za Mh. Makonda ila Sioni sababu ya baadhi ya wana JF kuanza kurusha maneno kwa waliotajwa. Hiyo ni List tu ya majina. Haina uthibitisho
Hapo ndo pagumu. Maana tulikua tunafuatilia INSTAGRAM live Na MILLAD AYO. Makonda alitaja kabisa Haikaeli Mbowe Mbunge wa Hai Lakini List iko tofauti. Au ni jina jingine la Mh. Mbowe
Nakuhakikishia kuwa BILA KUONDOA HII LAANA HATA HAYO MAENDELEO SAHAU.
KOSA SHULE LAKINI USHOGA USIWEPO. KWA SABABU KAMA HAUTAONDOLEWA USHOGA, SOMETIMES SHULE ITAKUA CHANZO KIKUBWA CHA WATOTO WETU KUJIFUNZA USHOGA KUTOKA KWA MARAFIKI.
INAUMIZA SANA JAMANI
Hayo unayosema hayafanyiwi kazi ni yako. Waza leo hii mtt wako wa kiume (siombei hivyo) unamgundua ni shoga. Sasa utajiuliza huo ushoga kajifunzia wapi? Jibu ni kwamba uwepo wa hawa watu ni mchango mkubwa.
Unasema hujawaona zaidi ya kwenye mitandao na tv. Kaka tembea uone.
Naiunga mkono kauli...
Watu saba wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka katika eneo la Mwika Mawanjeni Maarufu kama Bar mpya mkoani Kilimanjaro akiwamo mwandishi mmoja wa Gazeti la Habari leo Bw.Anold Swai na mwenyekiti wa UVCCM Hai.Endelea kufuatilia taarifa zetu za Habari...
Tumia akili yako wewe. Kwani mtu huwa akitaka kufanya tukio baya huwa anaonyesha silaha. Hilo ni sahihi kabisa. Kama alikua ana lengo baya akamdhuru rais unadhani walinzi wangefanywa nn. Huyo anatimiza majukumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.