Recent content by fenkra

  1. F

    Kakobe Askofu Mkuu wa kudumu FGBF

    Askofu kakobe yuko vizuri angegombea urais nimpe kura yangu ..
  2. F

    Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

    hivi nchi watu mtakuwa maubongo pooza mpaka lini? maubongo pooza ni watu ambao huwa hawakubali facts wanaenda na assumption tuu Huyo aliyeleta post hiyo ni kwa sababu kulikuwa na uvumi kwamba Askofu Kakobe anakaa nyumba ya gharama Leo tumejua ukweli kwamba nyumba yake ni ya kawaida saaaaaaaana...
  3. F

    Sherehe za miaka 25 ya kanisa la f.g.b.f

    natamani sana kuwepo naskia waumini wake toka nchi nzima Watakuwepo bila shaka itakuwa safi sana Askofu Kakobe ni mtu wa watu namkubali sana.!
  4. F

    Sherehe ya Miaka 25 ya Kanisa la FGBF Mwenge kwa askofu Kakobe inakaribia! Ni mwezi Aprili

    acha kuongea mambo usiyoyafanyia uchunguzi. @ avec vous
  5. F

    Sherehe ya Miaka 25 ya Kanisa la FGBF Mwenge kwa askofu Kakobe inakaribia! Ni mwezi Aprili

    yaani uAskofu wa Askofu Kakobe kweli unajionyesha kwa idadi kubwa ya hayo makanisa yake sisi tunampongeza kwa kazi yake nzuri Hongera Askofu kakobe kwa kanisa lako kufikisha miaka 25...
  6. F

    Hivi ni haki kuhubiri hovyo hovyo kwenye mabasi ya umma?

    ni haki,azana za waislam zinazopiga kelele saa 11,7 n.k zinawakera watu Waumini wa Askofu Kakobe na ninyi pigeni kelele muhubiri msiache
  7. F

    PPFT: Askofu Kakobe usitumie mwavuli wa dini kuhubiri chuki na uchochezi

    asilimia 99% ya watanzania ni watu WAOGA ndio maana serikali inawatafuta watu majasiri ambao ni hiyo asilimia Moja 1%,iliyobaki ya watu kama Askofu Kakobe,Dr Slaa,Mbowe n.k na hii asilimia Moja ni ya watu wenye uchungu na wenzao ambao bado wapo kwenye kifungo cha Uoga, tuunge mkono juhudi za...
  8. F

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    viongozi wa ccm wanawadharau watumishi wa MUNGU kama Askofu Kakobe kwa sababu anawakemea maovu yao ya kuwatesa wananchi kwa ufisadi wao ;naomba hayo yote aliyoyasema MUNGU kupitia Askofu Kakobe juu ya serial I ya ccm isiyojali wananchi yatimie ili na wao waone machungu ya tunayoyapata ya...
  9. F

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    viongozi wa ccm wanawadharau watumishi wa MUNGU kama Askofu Kakobe kwa sababu anawakemea maovu yao ya kuwatesa wananchi kwa ufisadi wao ;naomba hayo yote aliyoyasema MUNGU kupitia Askofu Kakobe juu ya serial I ya ccm isiyojali wananchi yatimie ili na wao waone machungu ya tunayoyapata ya...
Back
Top Bottom