Kwa hiyo papa akiwa na Obama mnaharisha na makamasi yanawatoka? Kaka huo ni woga tena woga wa kipumbavu. Papa ni binadamu, anaomba kwa Mungu kama wengine, anasali tofauti ana menage kanisa katoliki! Kanisa katoliki linamafundisho yake kama huyaamini nashauri sepa! Kusamehe dhambi kunawapa shida...
Yani kaka hadi unatia huruma! Viongozi wa dunia wakienda vatican wanaenda kumwinamia papa? Pole sana. Ni ukweli usiopingika papa ni mtu kupata wageni wa heshima kwa mtu kama yeye ni kitu cha kawaida. Sasa wewe unataka iweje? Labda tuanzie hapo mkuu. Make papa hata akinyenyua mguu mnatetemeka...
Mi niambie wapi cheo cha Mungu ni holly father! Reference za kumtukuza Mungu ni nyingi sana sasa ninukulie wapi hiyo reference inamaanisha cheo cha Mungu!
Usivyojua uongo una nukuu great controversy halafu anabwabwaja kuwa we siyo msabato! Hahahahaa! Halafu bado mnatuletea ya karne ya 16 wakati hiyo imebaki kwenye makabrasha ya historia! Hahahahaaaa
Baba wa milele, Mungu mwenye nguvu, mfalme wa amani. Hivyo vyaweza kuwa vyeo vya Mungu lakini si baba mtakatifu. Utakatifu ni refence ya ecclesia anayoiongoza wala si yeye kama yeye. Halafu acha kushusha hadhi ya Mungu wetu! Mungu aporwe cheo!!!!!! Hahahahahaaaa basi huyo si Mungu mwenye nguvu...
Mbona povu jingi? Kwa taarifa yako kwa msabato hata wewe umepotea kwa kusali jumapili ambayo wanasema ndo mamlaka ya papa! Kwa hiyo unakunywa mvinyo wa ghadhabu ya Mungu. Kama hujui kinachoendelea kaa kimya. Unatuambia umeokoka ili tufanyeje? Mediocrity!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.