Kwa kawaida mpira wa miguu pamoja na michezo mingine ni frusa hasa kwa wenye pesa.Kufanya biashara na timu ulizotaja wewe ni kazi ngumu kuliko simba na yanga.Hata sport pesa walipo fika walianza na timu hizo kwanza ndipo wakaanza kufikiri timu nyingine.Mpira biashara elewa hivo.
Majina ya Simba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.