Wadau kila mara napitia page ya enhance auto,,Kwakua nazipenda crown, najaribu kuangalia ulaji wake wa mafuta naona wameendika 12km/l,,Pamoja na web page zingine,,
Je ni kweli kwetu hapa tanzania ni hivyo? Na kama ni hivyo mbona naona crown nyingi sana zinauzwa bado ili hali zimeingizwa nchini...
Nimeipenda hii gari, nipo njia panda kati ya cc 1.5 na 1.8! kwa mwenye uzoefu ni ipi ambayo nitakua comfortable kwa safari ndefu, wakati huohuo nitatumia mafuta kidogo, na itakua funny to drive! Maana tatizo langu kubwa nimeshaathirika kusaikolojia kidogo yaani naogoa gari nikisikia inakula sana...
Ndugu yetu kauliza swali la msingi sana, kwakweli bandarini kuna gharama nyingi ikiwemo gharama zenyewe za kutumia bandari, clearing agent nk, mdai anataka kujua ni gharama zipi atatakiwa kuzilipia na zingine ambazo ataziokoa kwa kununua gari uganda, tumsaidie jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.