Na Nukuu
"#Wazee wetu walikuwa na #Uandishi kama huu ☝☝☝☝ wa #Mashairi
(Pengine sio la zamani ila ni #mfano)
utumiaji wa #Tafsida kitu ambacho vijana wengi wa sasa #TUMEKIPOTEZA
Haina maana kuwa muziki wa sasa ni wa kihuni tofauti na zamani!!!
#Big_No
hata zamani...
Kuna habari zilizokuwa zikienezwa kwenye mitandao kuhusu Diamond Platnumz na show yake ya Iringa, habari zenye lengo la Kuharibu show hio na pia kumtengenezea chuki Heat Maker wa Mdogo mdogo (Diamond Platnumz), Kichwa cha habari kikiwa "Wasanii Iringa watengeneza kamati ya kualibu show ya...
Kikosi kamili cha Stars kilichotajwa leo ni makipa Deogratius Munishi (Yanga), Ivo Mapunda (Simba) na Mwadini Ally (Azam). Mabeki wa pembeni ni Edward Charles (JKT Ruvu), Erasto Nyoni (Azam), Hassan Mwasapili (Mbeya City) na Michael Aidan (Ruvu Shooting).
Mabeki wa kati ni Aggrey Morris...
Jamani mie ni Blogger mwenye umri mdogo tu niko chuo kwa sasa nina miaka 19 na blog yangu inaitwa BLOG YA VIJANA kwa sasa ninaendelea vizuri japo sio sana...nashkurur kwa hilo na nimeandika hili kuwajuza tu wale wengine wasiojua kuhusu BLOG YA VIJANA basi wanaweza kuijua sasa......napnda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.