Recent content by FEELINGS

  1. F

    Live Updates: Press Conference CHADEMA Makao Makuu Leo tarehe 18/06/2013

    tunasubiri kwa hamu tujuzeni sisi wa mikoani.
  2. F

    Sababu iliyomfanya mkuu wa mkoa Arusha kupigwa mawe

    kama ni kweli alitoa maneno hayo ya dharau basi alistahili. zama za kudharauliana kwasababu yoyote ile zimepita. ukiwa kiongozi unahitaji uvumilivu na busara iliyopita kiaasi. kwani angezungumza bila kipaza sauti wasingesikia? unataka niamini kuwa kuwa AIA kuna wanafunzi wengi kiasi hicho! pia...
  3. F

    Wananchi wa DODOMA wapuuza ujio wa CHADEMA jana

    Ndugu yangu kiwiya dodoma haina wananchi. Kumbuka dodoma si nchi ni mkoa katika nchi ya tanzania. Ungesema wakaazi wa dodoma.......... Ingawaje hata unachokisema hakina mashiko kimejaa ushabiki na si uchambuzi wa umakini nafikiri tatizo laweza kuwa elimu yako. Pole sana.
  4. F

    Wananchi wa DODOMA wapuuza ujio wa CHADEMA jana

    Kukataa kusikiliza jambo si umakini. Umakini wa mtu unapimwa kwa kusikiliza mengi na kuweza kuchambua lililo bora. Halafu kumbuka dodoma haina wanachi, kwani dodoma si nchi ndugu yangu ni mkoa. Wewe wa wapi!?
  5. F

    Wananchi wa DODOMA wapuuza ujio wa CHADEMA jana

    SIDHANI KAMA UNAUHAKIKA NA UNALOLIANDIKA AU NI UTASHI WA KISHABIKI UNAO KUSUKUMA KUANDIKA HAYA. HAINGII AKILINI KWA MTU ANAYEFUATILIA SIASA ZA NCHI HII KUAMINI KUWA CHADEMA (chama makini) HAKITOI USHAURI WOWOTE KWA SERIKALI! ITENDEE HAKI NAFSI YAKO, HUJAWAHI KUSIKIA USHAURI WA HIKI CHAMA KWA...
  6. F

    Kesho Iringa: Lema, Sugu, Lissu, Kiwia, Wenje Msigwa na Dr. Slaa kuhutubia

    Nategeme hoja za nguvu kuliko vijembe kama walivyofanya wenzao. Watoe dira kwa wananchi kuhusu mustakabali wa nchi yetu na wasilete taarabu.
  7. F

    SERUKAMBA T-Shirt, wahi mapema kwa Bigirita.

    siwezi kuva T-shirt hiyo ndg yangu ntapitia njia gani!?
  8. F

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    DuH! double standards, social/political exclusion and so on ndani ya bunge. Mbona Ndugai alianza vizuri. Chemba kachafua hali ya hewa, uvumilivu umemshinda naibu, TiBiSii hawako fair kwenye kupasha habari.
  9. F

    BUNGENI: Peter Serukamba(CCM) atukana tusi kali, "F*** you"

    Duuh! ni aibu iliyoje kwa mbunge, sitaki kutumia neno Mheshimiwa na nimekua nikikataa miaka yote. Angalia sasa unamwitaje mtu mhashimiwa mwenye mdomo unao toka maneno machafu kuliko hata ya mtu aliyechanganyikiwa. Tusi la waziwazi halivumiliki, bora hata lingekua na chenga au angetumia lugha ya...
  10. F

    Askari wa Usalama agongwa na kufariki hapo hapo Bamaga!

    Mungu mwenyezi amrehemu. Amefariki akiwa kazini anatimiza majukumu yake. Poleni ndugu na jamaa wa marehemu.
  11. F

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Kiongozi nashukuru kwa ushauri wako. Kitunguu saumu ni dawa ya vitu vingi sana jamani msidharau.
  12. F

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Rais wa Tanzania analipwa mshahara wa shs $ 450,000 kwa mwaka. Hapo ni nje ya marupurupu yote. Confirmed
  13. F

    Kukatika Umeme kanda ya Kaskazini Na Mkutano wa Jangwani CDM

    Sidhani kama itasaidia sana. watatumia majenereta na sisi wenye mtandao tuwe tunawapa tarifa ya kinachoendelea.
  14. F

    Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

    Tusisahau kuwa ni mtu wa watu. Huwatembelea wagonjwa hospitalini, huudhuria misiba, huwakumbuka yatima,wajane na wazee hasa katika sikukuu za dini. Pia ameruhusu uhuru mkubwa wa habari mpaka wanamtukana! MAPUNGUFU KWA MWANADAMU NI LAZIMA LAKINI KUNA MENGI MAZURI KAFANYA NA ANASIFA ZAKE NYINGI TU...
  15. F

    MAKINDA: Nusu ya wabunge wataka kuacha ubunge kutokana na hali ngumu ya maisha

    Kuwaambia wanachi heti ni posho ya 200,000 inayotaka kuwatoa macho ni tusi, tusi kubwa kama lile la Basil Mramba kwamba "... hata ikibidi watu watakula majani lakini ndege ya rais lazima inunuliwe". Viongozi wetu wamelewa madaraka. Siamini Mama Makinda anaweza kuzungumza utumbo nliousikia East...
Back
Top Bottom