Recent content by FEDRICK SANGA

  1. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Ni Wakati wa Mkude kujitafakari

    Hahaaaaaaaaaa
  2. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Michuano ipi ya World Cup ilikuwa bora sana kuitazama?

    Kombe la Dunia 2002 namkumbuka goalkeeper Oliver Khan wa Ujerumani na Timu ya Brazil ikiwa na Ronaldo De Lima
  3. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Basi la kanisa lapatikana likisafirisha bangi

    Dah Kaz kwelikweli
  4. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

    Mungu amlaze mahali pema Peponi
  5. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Kaitaba: Simba SC yamuadhibu mbabe wake Tanzania kwa kumchapa tatu bila

    Miraji Athman n mchezaji mzuri sana licha ya kutoanza kucheza lakini akiingia huwa anacheza vizuri na kusababisha mathara kwa timu pinzani
  6. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Watu 10 wanaoongoza kwa Umaarufu Tanzania

    Wasanii na wanamichezo Mara nyingi wanafahamika zaidi kuliko hata wanasiasa mtu anamjua Mess,Ronaldo,Diamond au Alikiba lakini mtu huyo huyo ukimuulza Waziri wa michezo ni Nan hajui,hii inatokana na watu wengi kupenda mziki na michezo
  7. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Azam Media upande wa Habari wanajitahidi sana, aliyewapa ITV Usuper Brand achunguzwe

    Azam taarfa yao ya habari ni nzuri ,picha nzuri lkn kwenye habari za Kimataifa ni fupi sana
  8. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Wanigeria wawapa saa 24 waafrika Kusini wawe wameondoka nchini mwao

    Hawa Wanigeria wameona isiwe tabu wameamua kuwajibu wa South kwa vitendo
  9. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Ni vitabu gani vimepigwa marufuku Tanzania?

    Ni kitabu kizuri sana KIU YA HAKI
  10. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Hongereni AZAM, Naona leo mmeachia ITV ktkt kisimbuzi chenu

    Wamefanya Jambo jema sana pongezi kwao ilikuwa inakera sana kuangalia TBC picha zake sio nzuri sana
  11. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Kikongwe aliyepigania ardhi yake kwa miaka 42 kulipwa milioni 500

    Bibi atakuwa anatamani awe kijana maana hizo pesa ni nyingi na umri umeenda
  12. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Ligi Kuu Bara: Yanga FC 0 Vs 1 Ruvu Shooting

    Hahaaaaa cjui atasema nn Masau Bwire mzee ana maneno yule
  13. FEDRICK SANGA

    JamiiForums Tanzania Lori jingine la mafuta lapata ajali Handeni, wananchi wakimbilia tena kuchota

    Watu hawajifunzi kupitia ajali ya Moro
Back
Top Bottom