LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,133
- 11,126
Miaka mitatu sasa ITV wanajiita Sueper brand East Africa lakini sijui huo usuper wao umepimwa vipi, ukiangalia muonekano wa picha zao ni mbovu yani hawana HD kabisa, Taarifa yao ya habari inazidiwa viwango na Azam
Azam upande wa habari wapo vizuri sana, wanachambua mambo vizuri japo uhuru sio mkubwa lakini wanajitahidi na muonekano wao ni Hd, taarifa yao ya habari inavutia kuangalia na wana wachambuzi wazuri
Aliyeipa ITV usuper Brand achunguzwe...
Azam upande wa habari wapo vizuri sana, wanachambua mambo vizuri japo uhuru sio mkubwa lakini wanajitahidi na muonekano wao ni Hd, taarifa yao ya habari inavutia kuangalia na wana wachambuzi wazuri
Aliyeipa ITV usuper Brand achunguzwe...