Ni kweli kwa maeneo ya mjini biashara hii imepungua sana hasa kutokana na kupungua kwa street photograph kulikochangiwa na kuja kwa smart phone, lkn kwa maeneo ya vijijini biashara bado ipo, japo ni ya msimu, hasa wakati wa sikukuu na matukio makubwa kama harusi, ubatizo, misiba nk
Sent using...