Mwana jamvi
Kuna vitu au mambo ambayo yapo juu ya uwezo wako huwezi kufanya.
Kipi hicho mdau funguka...
Kwa kweli Mimi kuna mawili
★kubadili dini/ dhehebu
★kufanyiwa tohara(kutairiwa)
Hapo never ....... Siweziiiii
Wanajamvi habarini...
Kuna mwaka fulan yalinikuta sitosahau!!!
Ilikuwa jioni nitoka kijiji jirani kwa mshikaji wangu.
Wakati narudi home mida ya jioni kigizagiza ndo kinaanza, kwa mbali nikaona dem yu pekeake. Nikakaza pedo nimfikie, kweli nikamfikia. Nikazuga kumpita kidogo afu nikamwambia...
Pole na msongo wa mawazo.
Kuna wakati huna budi kuwaza sana wanawake wanatofautiana sana.
Kama ulishapitia madem wengi utaona tofauti kwa kila dem.
Kuna mambo mengi kumjua mwanamke mmojammoja. Huhitaji kumridhisha kila mwanamke wengine chapa tembea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huwa naanza mazoezi mepesi JUMA la tatu tangu kujifungua.
Unapiga polepole akiumia unaacha wala hakuna madhara
Miezi minne ni upumbavu wako ,
Ashakuona hamnazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa zangu
Miaka 29
Mwajiriwa na nimejiajiri pia
Ni mweupe rangi
Mrefu wa kati
Nipo kanda ya ziwa
Awe na sifa
Miaka 20-30
Mwenye kazi au asiwe na kazi Sawa
Kimo chochote
Rangi yoyote
Awe mwelewa na
Asiwe wa kisasa zaidi.
KARIBUNI SANA PM WENYE UHITAJI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ubomoaji nzuri. Itakusaidia baadae ukiamua kurudi, unajichapia bila shida.
Kumbuka ni wale ambao huna malengo nao.
Unadum na dem Hata kwa miaka 20+
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.