Ulichosema inawezekana kwa tz sikatai ila usije one maswali ni magum na kwamba awakuulizi yanayousiana na job description .
Nilishawai fanya interview ya watu wa mashirika ya njee kwanza ilikua unaandika esay afu nikawa short listed nilibe rejected kwenye interview ya Tatu but nilijengeka sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.