thA goD JF-Expert Member Jul 27, 2017 1,941 1,844 Nov 22, 2018 #1 Kuna baadhi ya mambo yameshakuwa kama ni sheria, mfano chai na chapati mbili.
The Icebreaker JF-Expert Member Feb 11, 2018 18,141 51,010 Nov 22, 2018 #6 Kupost instagram kila unachokifanya!
Adverse Effect JF-Expert Member Oct 8, 2017 1,309 3,167 Nov 22, 2018 #8 Jeshi kutumika pasipo stahili wala kutarajiwa.
M Marwa_J_Merengo JF-Expert Member Aug 6, 2018 4,512 6,856 Nov 22, 2018 #9 Hii imesababiswa na watu wasiotutakia mema
Makosa JF-Expert Member Apr 23, 2015 1,183 2,612 Nov 22, 2018 #11 Kulisifu jiwe sahizi imekuwa kama ni sheria
thA goD JF-Expert Member Jul 27, 2017 1,941 1,844 Nov 22, 2018 Thread starter #12 Mimi naona hata kujivimbisha mtandaoni kama ndege tausi imekuwa kama sheria sasa
Alexander The Great JF-Expert Member Aug 28, 2018 4,502 23,581 Nov 22, 2018 #13 Kumwaga POVU bila sababu JF kwenye thread za watu. Kuna watu bila KUFITINISHA na KUTOA POVU nene JF siku nzima hua wanaugua homa.
Kumwaga POVU bila sababu JF kwenye thread za watu. Kuna watu bila KUFITINISHA na KUTOA POVU nene JF siku nzima hua wanaugua homa.
M Mr Twesie JF-Expert Member Jan 18, 2017 388 546 Nov 22, 2018 #14 Police na vimashine vyao vya faini walishaona sifa hata ukiwa umejipulizia pafyum yenye harufu hasiyoipenda mkeka unakuhusu
Police na vimashine vyao vya faini walishaona sifa hata ukiwa umejipulizia pafyum yenye harufu hasiyoipenda mkeka unakuhusu
Chaliifrancisco JF-Expert Member Jan 17, 2015 23,489 70,276 Nov 22, 2018 #15 Kufanya kazi mchana na kulala usiku. Nani alitudanganya wabongo?
Youngblood JF-Expert Member Aug 1, 2014 18,954 55,047 Nov 22, 2018 #16 Kwamba kila mwana JF ni tajiri...
S V Surovikin JF-Expert Member Aug 8, 2015 13,614 32,710 Nov 22, 2018 #17 Kupiga kimoja wakati wa kulala na wakati wa kuamka
P Pure nomaa JF-Expert Member Dec 10, 2011 1,158 1,382 Nov 22, 2018 #18 Kifo cha mende kila mwenye nyumba kuweka fremu Asubuhi chai mchana ugali usiku wali
BJB FC JF-Expert Member Aug 25, 2015 1,690 1,670 Nov 23, 2018 #19 Kuhama upande ili kuunga mguu juhudi
The 13 JF-Expert Member Oct 14, 2018 2,843 3,259 Nov 23, 2018 #20 aretasludovick said: Kupiga kimoja wakati wa kulala na wakati wa kuamka Click to expand... tupooo