Recent content by fatuma bock

  1. fatuma bock

    DGIS Diwan Athuman jiulize DDGIS Makungu alitumbuliwa au alipelekwa Tabora kujinoa kushika hatamu?

    huyu jamaa akili zake kama panzi hata hajielewi nani hakujui@surapaka au unataka kukiki kwa kutengeneza umbeya wa kijinga kwa Idara nyeti kama ya Diwani
  2. fatuma bock

    DGIS Diwan Athuman jiulize DDGIS Makungu alitumbuliwa au alipelekwa Tabora kujinoa kushika hatamu?

    Welaaaaa tulikumis sana sister yetu, tafadhali tufowardie ka audio ka @surapaka, ngoja niongeze bando nipate ubuyu zaidi..... jinga sana
  3. fatuma bock

    Kuna faida nyingi zaidi kwenye muungano

    tujifunze kwa viongozi waasisi, kwa nini utengue maamyzi ya wazazi wako unatafuta laana
  4. fatuma bock

    Tanzania kupitia shirika la TTCL yaingia mkataba wa kupeleka intaneti Burundi

    Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Tanzania TTCL imesaini makubaliano na kampuni ya BBS ya Burundi kuhusu kutoa huduma za mtandao wa Internet. Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya TTCL Bw. Waziri Kindamba amesema, Makubaliano hayo yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 6 yatatekelezwa nchini...
  5. fatuma bock

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    kwel watu wengine hawafikilii mbali mbali akili zao ni nyepesi za kufukilia dadika mbili tu, tujifunze kwa mataifa mengine jaman.
  6. fatuma bock

    Rais Magufuli aache kutukana na kudhalilisha watumishi wa umma kwa kisingizio cha maendeleo

    Inaelekea watu hawaelewi mpaka wapewe maneno makali.
  7. fatuma bock

    Uandikishaji Wapiga Kura 2019: Baadhi ya hoja za wasio tayari kujiandikisha ni hizi...

    wee jinga kabisa hakuna ubaguzi hapo hivi angekuwa anaubaguzi angeteua viongozi wa Vyama vingine, shida wa TZ tunapenda kupotosha sana
  8. fatuma bock

    Kwa Lugha nyepesi Tundu Lissu kagoma kushiriki uchaguzi CHADEMA

    Huo ndo ukweli na hakuna uongo hapo, maake walipanga kumuondoa kabisa Duniani Lissu na Chadema walitaka kumuua haji kabisa na wakomae na wachanguzi wao peke yao
  9. fatuma bock

    Adhabu ya viboko ilijenga taifa lenye nidhamu kuanzia mashuleni mpaka majumbani !

    Sasa unaunga mkono matumizi ya simu mashuleni na kiburi cha kuharibu mali? Sitaki kuamini kuwa enzi za utoto wako ulikuwa kama hao wanafunzi waliokosa adabu
  10. fatuma bock

    Waziri Mkuu aitaka TAKUKURU kumchunguza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkalama, Godfrey Sanga kwa matumizi mabaya ya fedha za umma

    Waziri mkuu, Kassim Majaliwa amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU wa Mkoa wa Singida, Adili Elinipenda amchunguze Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkalama, Godfrey Sanga kwa matumizi mabaya ya fedha za umma. Baadhi ya tuhuma alizonazo ni kujilipa posho ya safari Machi mwaka huu bila kusafiri...
Back
Top Bottom