Recent content by fatiki

  1. F

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Mimi nataka incubator naomba tuwasiliane yenye uwezo wakubeba mayai 150 tuu
  2. F

    Dondoo za kupaa kichawi

    Mkuu nifanyeji iliniweze kuwa na hii nguvu ya mungu zaidii nasio ndotoni tuu
  3. F

    Dondoo za kupaa kichawi

    Najee hi mimi kuota ni na wakemea na hata kuwarushia moto ninguvu gani samahani kwa maswali mengi
  4. F

    Dondoo za kupaa kichawi

    Mshana vip hizo ndoto. Zinaweza kuhusiana nanyumba tunazo panga sababu kunamara ninaotandoto ninakemea mapepo mpaka sauti inakwisha then nikifanikiwa kuwanyoshea kiganja cha mkono wangu unatoka Moto mkali nakuwamaliza hususani nikitaja jina la yesu
  5. F

    Dondoo za kupaa kichawi

    Samahani mshana huwa mara nyingi sana. Ninaota ndoto nina paa na ndoto hizo huanza katika mazingira yaku gombana zeni ninafanikiwa kukimbia mwishowe adui akinikaribia nina pasa naomba unieleze Nini maana take
  6. F

    Kamba aliyojinyongea mtu au Kabanga ina siri gani?

    Naona kamavile unatangaza biashara unadai hunakazi mwaka wapili na life nila kuungaunga at the same time inflates USD 10,000 hainiingi akkilini
  7. F

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Wakuu mimi Ndio nimekwisha jaribu biashara hi ya samaki nimechimba mabwawa mawili nakueka samaki elfin5 tano kwasasa wanamuda wa miezi miwili kamili TATIZO NI UPATIKANAJI WACHAKULA NINAPATA ILA BEEIPO JUU SANA YANI KILO 20 KWA TSH 50'000/= NAOMBA ANAYE JUA UPATIKANAJI WAKE KWA BEI NZURI TUWASILIANE
Back
Top Bottom