With Education
Mwalimu anasomea masomo mawili kwa ajili ya kufundisha na inalenga zaidi sekondari na msingi
In education
Anasomea somo moja la kufundisha
Huyu ni kwa ajili ya kufundisha chuoni
Namkubali sana Justin Kalikawe
Nakumbuka kuna album nyingi niliwahi kuwa nazo ila katika harakati za utafutaji nikajikuta nipo nje ya mfumo kuja kurudi tape zote zimeharibika
Nikiingia mtandaoni nakutana na nyimbo chache sana
Sijui ndugu kama waweza kusaidia kupata hata kupitia familia yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.